Nina mashaka na akili ya John Thobias wa ATN

Mwana Mtoka Pabaya

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
15,118
16,470
Jana kwa masikio yangu wakati wa kipindi cha Uchambuzi wa Magazeti, nimemsikia mtangazaji John Thobias wa kipindi hiki akifanya kile nachokiita muendeleo wa kuibomoa fani ya habari.

Katika namna ya kushangaza, jamaa huyu ambaye nina mashaka na uwezo wake wa kukumbuka ni wapi alipo na anafanya nini alionesha upenzi uliokithiri kiasi cha kusahau kazi yake na kuleta ushabiki.

Alikuwa akisoma habari katika kurasa za michezo ktk magazeti mbali mbali ambapo kwa makusudi kabisa, badala ya kuwa msomaji kama alivyoajiriwa akajifanya muamuzi:

Kichwa: Seintfit: WAAMUZI BONGO NI KIKWAZO - hii akaisoma na kuongezea maneno yake mengi kupamba jinsi waamuzi wanavyoboronga na kuikwamisha simba kuifunga Mgambo JKT

Kichwa: Baada ya mfululio wa Sare, Kocha Simba aanza visingizio - hii alisema hivi "ah hii achana nayo haiko more technical"

Kichwa: Yanga.... - hii akasema "ah hizi habari za Yanga, hazina mashiko" na akaendelea na habari nyingine.

Je, ATN ina mgogoro na Yanga au ni mapenzi ya John Tobias kwa Simba?
Kazi yake ni kutusomea vichwa tu - digest au kutuambia ipi ni habari na ipi si habari? Hapa nachokiona ni huu utaratibu wa kuajiri presenters wasio na maadili. Yupo Mwenzake pale pale ATN anaitwa Kelvin Moto, huyo yeye ni kuisifia Manchester United hata siku ilipotandikwa 3 kwa 1 na Barca Wembley aliisifia kuwa imecheza mpira mzuri lakini bahati haikuwa yao.

Huu ni ugonjwa gani wa kuonesha mapenzi studio?
 
Mkuu sema jamaa unamuelewa vibaya. mi huwa namsikiliza kila siku na ndo mtu mtu pekee katika media za tanzania anaye soma magazeti kwa ufasaha. kuhusu michezo kwa tanzania kila mtangazaji utajua yupo upande gani kama utamfuatilia. michezo anasoma kwa mbwembwe ili kuwavutia watu waangalie mechi kwenye king'amuzi chao cha ting.
ni kweli magazeti mengine yana habari zisizo na mashiko ndo maana akasema "hii ya yanga haina mashiko" na hakuisoma kama unakumbuka. muache dogo apige kazi hakuna mbadala wake. mia
 
Nakushauri uache kutazama atn . Kuanzia leo hamia refio imani au soma al anuur. Unataka kila mtu awe na mawazo km yako?
 
Nakushauri uache kutazama atn . Kuanzia leo hamia refio imani au soma al anuur. Unataka kila mtu awe na mawazo km yako?

Refio imani kwani mi nataka kujifunza ujinga? Kawashauri watu wa Mbagala, Manzese, Mburahati na Kigogo, mimi naishi Mbezi. Na hilo gazeti unaloniambia nitalisoma pindi nitapoanza kufuga majini

Sikusema kila mtu awe na mawazo kama yangu, ila kama mwana habari anatakiwa awe NEUTRAL.
 
Mkuu sema jamaa unamuelewa vibaya. mi huwa namsikiliza kila siku na ndo mtu mtu pekee katika media za tanzania anaye soma magazeti kwa ufasaha. kuhusu michezo kwa tanzania kila mtangazaji utajua yupo upande gani kama utamfuatilia. michezo anasoma kwa mbwembwe ili kuwavutia watu waangalie mechi kwenye king'amuzi chao cha ting.
ni kweli magazeti mengine yana habari zisizo na mashiko ndo maana akasema "hii ya yanga haina mashiko" na hakuisoma kama unakumbuka. muache dogo apige kazi hakuna mbadala wake. mia

Nini kinakufanya ufikirie kuwa nimemimina uzi kwa ajili ya siku hii moja tu? Suala habari ya Yanga kukosa mashiko wala haihusiani na habari yenyewe, bali inahusiana na mapenzi yake kwa Simba.

Siku Yanga ilipochukua kombe la Kagame nilimsikia laivu akinena mara baada ya kusoma habari hiyo katika Mwanaspoti "Mpira hauna adabu bwana timu zenye kupiga mpira wa mkali ndio hivyo tena"

Kukosa kwake mbadala ni kupi?
 
Jana kwa masikio yangu wakati wa kipindi cha Uchambuzi wa Magazeti, nimemsikia mtangazaji John Thobias wa kipindi hiki akifanya kile nachokiita muendeleo wa kuibomoa fani ya habari.

Katika namna ya kushangaza, jamaa huyu ambaye nina mashaka na uwezo wake wa kukumbuka ni wapi alipo na anafanya nini alionesha upenzi uliokithiri kiasi cha kusahau kazi yake na kuleta ushabiki.

Alikuwa akisoma habari katika kurasa za michezo ktk magazeti mbali mbali ambapo kwa makusudi kabisa, badala ya kuwa msomaji kama alivyoajiriwa akajifanya muamuzi:

Kichwa: Seintfit: WAAMUZI BONGO NI KIKWAZO - hii akaisoma na kuongezea maneno yake mengi kupamba jinsi waamuzi wanavyoboronga na kuikwamisha simba kuifunga Mgambo JKT

Kichwa: Baada ya mfululio wa Sare, Kocha Simba aanza visingizio - hii alisema hivi "ah hii achana nayo haiko more technical"

Kichwa: Yanga.... - hii akasema "ah hizi habari za Yanga, hazina mashiko" na akaendelea na habari nyingine.

Je, ATN ina mgogoro na Yanga au ni mapenzi ya John Tobias kwa Simba?
Kazi yake ni kutusomea vichwa tu - digest au kutuambia ipi ni habari na ipi si habari? Hapa nachokiona ni huu utaratibu wa kuajiri presenters wasio na maadili. Yupo Mwenzake pale pale ATN anaitwa Kelvin Moto, huyo yeye ni kuisifia Manchester United hata siku ilipotandikwa 3 kwa 1 na Barca Wembley aliisifia kuwa imecheza mpira mzuri lakini bahati haikuwa yao.

Huu ni ugonjwa gani wa kuonesha mapenzi studio?
kuna haja pia ya kuhoji akili ya Maulid Kitenge wa RadioOne na ITV.
 
Jana kwa masikio yangu wakati wa kipindi cha Uchambuzi wa Magazeti, nimemsikia mtangazaji John Thobias wa kipindi hiki akifanya kile nachokiita muendeleo wa kuibomoa fani ya habari.

Katika namna ya kushangaza, jamaa huyu ambaye nina mashaka na uwezo wake wa kukumbuka ni wapi alipo na anafanya nini alionesha upenzi uliokithiri kiasi cha kusahau kazi yake na kuleta ushabiki.

Alikuwa akisoma habari katika kurasa za michezo ktk magazeti mbali mbali ambapo kwa makusudi kabisa, badala ya kuwa msomaji kama alivyoajiriwa akajifanya muamuzi:

Kichwa: Seintfit: WAAMUZI BONGO NI KIKWAZO - hii akaisoma na kuongezea maneno yake mengi kupamba jinsi waamuzi wanavyoboronga na kuikwamisha simba kuifunga Mgambo JKT

Kichwa: Baada ya mfululio wa Sare, Kocha Simba aanza visingizio - hii alisema hivi "ah hii achana nayo haiko more technical"

Kichwa: Yanga.... - hii akasema "ah hizi habari za Yanga, hazina mashiko" na akaendelea na habari nyingine.

Je, ATN ina mgogoro na Yanga au ni mapenzi ya John Tobias kwa Simba?
Kazi yake ni kutusomea vichwa tu - digest au kutuambia ipi ni habari na ipi si habari? Hapa nachokiona ni huu utaratibu wa kuajiri presenters wasio na maadili. Yupo Mwenzake pale pale ATN anaitwa Kelvin Moto, huyo yeye ni kuisifia Manchester United hata siku ilipotandikwa 3 kwa 1 na Barca Wembley aliisifia kuwa imecheza mpira mzuri lakini bahati haikuwa yao.

Huu ni ugonjwa gani wa kuonesha mapenzi studio?

Ningekuwa mimi ni Mkurugenzi wa hiyo station ningempiga Warning 1 kali sana,akirudia anaenda kujiunga na Ezekiel Kamwaga kwenye ku'report issue za Club aipendayo,shwaini!
 
Sijaona ubaya wowote aliofanya! Huwezi kuficha mapenzi! yeye ni shabiki wa chama kubwa! wekundu wa msimbazi! Taifa kubwa! Mnyama! kesho tunamlambisha azam koni lake.
 
Sijaona ubaya wowote aliofanya! Huwezi kuficha mapenzi! yeye ni shabiki wa chama kubwa! wekundu wa msimbazi! Taifa kubwa! Mnyama! kesho tunamlambisha azam koni lake.

Umefikiria kwa ufupi sana.
Hata uwe mpenzi kiasi gani, linapokuja suala la uandishi wa habari unatakiwa usiegame popote.
Hebu jiulize, ukishawaonesha watu kuwa unaipenda Lipuli halafu ndo iwe nini? Zaidi unajikuta ajira inaning'inia na ulichopata hakuna.
 
Umefikiria kwa ufupi sana.
Hata uwe mpenzi kiasi gani, linapokuja suala la uandishi wa habari unatakiwa usiegame popote.
Hebu jiulize, ukishawaonesha watu kuwa unaipenda Lipuli halafu ndo iwe nini? Zaidi unajikuta ajira inaning'inia na ulichopata hakuna.

John Thobius anasoma magazeti! hajaandika habari! wewe ndio unafikiria kwenye vaccum!
 
John Thobius anasoma magazeti! hajaandika habari! wewe ndio unafikiria kwenye vaccum!

Teh teh teh teh!
Naona umechanganywa na neno mwandishi wa habari, ukilitafsiri kwa kizungu ni 'news writer', kuna uwezekano mkubwa kuwa hakuna news writer, bali kuna scriptwriter, producer, director, anchor, reporter, photojournalist na kadhalika. Lakini in most cases hawa wote ni waandishi wa habari na wanatakiwa wafuate codes za journalism ethics, mojawapo ndo hiyo ya kuobserve neutrality kwenye wanachokitengeneza.
Got it?
 
Teh teh teh teh!
Naona umechanganywa na neno mwandishi wa habari, ukilitafsiri kwa kizungu ni 'news writer', kuna uwezekano mkubwa kuwa hakuna news writer, bali kuna scriptwriter, producer, director, anchor, reporter, photojournalist na kadhalika. Lakini in most cases hawa wote ni waandishi wa habari na wanatakiwa wafuate codes za journalism ethics, mojawapo ndo hiyo ya kuobserve neutrality kwenye wanachokitengeneza.
Got it?

John Thobius ni deiwaka pale ATN hana qualifications za uandishi wa habari.umenipata dogo?
 
Maulid Kitenge afadhali kidogo, balaa ni yule mwenzake Omar Katanga.

wote sifuri, kwanza wanahribu kabisa kiswahili hawa watu....ndiyo madhara ya kukimbia hesabu secondary, inamfanya mtu kuw ana uwezo mdogo wa kufikiri na kuanalyze
 
John Thobius ni deiwaka pale ATN hana qualifications za uandishi wa habari.umenipata dogo?

Mwanzo umemsifia kwa alichokifanya, nikakueleza mapungufu yake na kwanini hakutakiwa kufanya vile sasa hivi unaniambia hana qualification.
Ni makosa kuajiri mtu asiye na vigezo, kwani atakapokinukisha uongozi ndo utakuwa matatani.
 
kuna haja pia ya kuhoji akili ya Maulid Kitenge wa RadioOne na ITV.

kweli kbs PrN KAZI, Kitenge anaboa mbaya afu mby zaidi mwnyewe anajiona fundi kweli, jamaa kajaa mapenzi kweli. After game ya Simba na Mtibwa na mashabk wa Simba walikuwa wanatuma maoni wakisema kwamba Simba lazima wakae chini watafute tatizo ni nn hadi timu ifanye vibaya kiasi hiki kutoka sare tano na kufungwa mechi moja kati ya mechi nane walizocheza, eti yeye akasema hakuna haja ya kukaa chini na kujiuliza kwan hayo ni matokeo ya kawaida na timu bado haijafanya vibaya wakati Yanga ilipotoka sare na Prison na kufungwa na Mtibwa alisema lazima Yanga wakae chini na wajiulize kwa nn timu ifanye vibaya namna hiyo, sasa jiulize kweli huyu mtu yuko fair kitaaluma?
 
Unapochanganya dini na mambo ya dunia tegemea mambo kama hayo. Kigezo cha kuajiriwa ATN ni kuwa muumini kwanza, vingine hufuata.
Ni jambo muhimu sana kuangalia kigezo cha dini kwani ukifanya mzaa kwenye hili unaweza kuajiri magaidi!
 
Back
Top Bottom