Nina mahindi naomba kujua soko

Nina mahindi naomba kujua soko

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Ndugu wana jamvi Nina gunia elfu NNE za mahindi Dodoma ,Naomba kwa anae jua soko la nnje ya nnchi au kama kuna wanunuzi wakunifata nilipo daodoma tuwasiliane.



Natanguliza shukrani zangu za zati.
 
Ndugu wana jamvi Nina gunia elfu NNE za mahindi Dodoma ,Naomba kwa anae jua soko la nnje ya nnchi au kama kuna wanunuzi wakunifata nilipo daodoma tuwasiliane.



Natanguliza shukrani zangu za zati.
Mahindi ya mwaka huu ama ya mwaka jana.Bei yako ni kiasi gani ulipo?
 
Ndugu wana jamvi Nina gunia elfu NNE za mahindi Dodoma ,Naomba kwa anae jua soko la nnje ya nnchi au kama kuna wanunuzi wakunifata nilipo daodoma tuwasiliane.



Natanguliza shukrani zangu za zati.
Hongera mkuu ukipata mteja mwenye bei kubwa kuliko wote nishtue na mm niuze yangu. Japo yangu ya mwaka huu.
 
Ndugu wana jamvi Nina gunia elfu NNE za mahindi Dodoma ,Naomba kwa anae jua soko la nnje ya nnchi au kama kuna wanunuzi wakunifata nilipo daodoma tuwasiliane.



Natanguliza shukrani zangu za zati.
Hayo ya mwaka jana naomba unipe bei mkuu na mahali gani yalipo Dodoma
 
Vipi burudi utafika me ndiko nahisi kuna soko la chakula kwa mwaka huu. Mfano gunia la miogo ile mikavu linauzwa elfu 90 au laki moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom