Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,119
Rejea kichwa cha habari hapo juu nataka iwe mpya ya mwaka 2017.used sitaki kama unayo nicheck pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba matusi yanatoka wapi tena mkuu.We mshamba Hakuna kitu kinaitwa samsung S7 Edge ya 2017, na kama unataka mpya nenda dukani ukanunue brand-new samsung S7 Edge 2016 lakini sio kwa hela hiyo mbuzi 800k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo serius mkuu? Mbona wataalamu wameshaanza kuniponda kuwa hakuna s7 edge ya mwaka 2017Mkuu kuusu Samsung galaxy S7 edge ipo kama upo makin kesho tukuletee
Sent using Jamii Forums mobile app
We mshamba Hakuna kitu kinaitwa samsung S7 Edge ya 2017, na kama unataka mpya nenda dukani ukanunue brand-new samsung S7 Edge 2016 lakini sio kwa hela hiyo mbuzi 800k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpya ni sh ngapi?Laki 8 mpya!!
Hiyo nafikiri unaulizia kwa bei ya iliyotumika grade C na kushuka au zakudanganywa
Rejea kichwa cha habari hapo juu nataka iwe mpya ya mwaka 2017.used sitaki kama unayo nicheck pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm ninazo kwa 900,000We mshamba Hakuna kitu kinaitwa samsung S7 Edge ya 2017, na kama unataka mpya nenda dukani ukanunue brand-new samsung S7 Edge 2016 lakini sio kwa hela hiyo mbuzi 800k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuzote mnaambiwa Kizuri kina gharama hamsikii. Na usipoangalia utauziwa used iliyobadilishwa housing na kubandikwa stickers plus charger na earphones fake ukidhani ni mpya kumbe used. Kanunue mpya dukani kitu cha uhakika mixer warranty ya uhakika na sio kuunga unga lazima itakutokea puani tu!Baba matusi yanatoka wapi tena mkuu.
Kama umegundua mi ni mshamba nieleweshe vizuri haya mambo sio taaluma yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa anauelewa huu mji atafuata ushauri. Rahisi huwa gharama.Sikuzote mnaambiwa Kizuri kina gharama hamsikii. Na usipoangalia utauziwa used iliyobadilishwa housing na kubandikwa stickers plus charger na earphones fake ukidhani ni mpya kumbe used. Kanunue mpya dukani kitu cha uhakika mixer warranty ya uhakika na sio kuunga unga lazima itakutokea puani tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anastaajabisha sana.. itakuwa matusi yenyewe kayajua leoBaba matusi yanatoka wapi tena mkuu.
Kama umegundua mi ni mshamba nieleweshe vizuri haya mambo sio taaluma yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba mi nataka mbuzi we unanishawishi ninunue mbwa kisa utanipunguzia bei