sina ila nina uzoefu wa kuziuza,Unayo?
Kama 1.5 hivi,ni Dell i7 8Gen,in 1Terbte na Nvidia 2Gb..Kama sh ngapi
Mcheck Chris lukosi kuna Pc alipost jana nadhaniIwe na RAM kuanzia 12, SSD au HDD kuanzia 500, HP au Dell, kuanzia 8 generation. Iwe na graphics cad, ikiwa mvidia itapewa kipaumbele.
SpecificationsNina LENOVO Thinkbook nilinunuliwa MPYA dukani Milioni Mbili na Laki Sita,nimeitumia miezi miwili tu NAIUZA,karibu PM kwa picha na details zaidi
Naulizia specs Kwa maana Aina ya processor, ram, GPU kama inayo, storage nk
Mkuu,mimi hayo mambo ya RAM,PROCESSOR,GPU hata sijui,najua ku-type tu[emoji1787]labda uniambie niiwashe na kuingia wapi ndio nitayaona nipige picha nitumeNaulizia specs Kwa maana Aina ya processor, ram, GPU kama inayo, storage nk
Iwashe alafu kwenye window screen apo kwenye eneo la kusearch type Dxdiag then OK itakuletea properties zote unazohitajiMkuu,mimi hayo mambo ya RAM,PROCESSOR,GPU hata sijui,najua ku-type tu[emoji1787]labda uniambie niiwashe na kuingia wapi ndio nitayaona nipige picha nitume
Maelezo hayoIwashe alafu kwenye window screen apo kwenye eneo la kusearch type Dxdiag then OK itakuletea properties zote unazohitaji
Maelezo hayoView attachment 2695435
Mimi sijui sasa,kama nilivyoandika Laptop nimepewa ikiwa Mpya kabisa kwenye box lake,na huyo Ofisa wa Procurement anasema thamani yake ni 2.6,sasa sijui kaongeza Bei ili apige Pesa ofisini I don't knowProcessor imeandika N/A na ndio uminatakiwa hapa