The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,135
- 1,381
Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
Njoo nikuuzie samsung grand prime plus haina tatizo lolote iko kwenye hali nzuri kabisaHabari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
User review za hiyo simu kuhusu Camera na Ram na battery haziridhishi mkuu.kwa laki 3 dukan mbona unachukua samsung grand prime 293,000/=
Weka namba yako Pm nikuchek ingawa Sitegemei S6 Edge OG ya halali iliyo katika hali nzuri kwa laki tatu....maana hiyo kwangu ndio top budget... Kama Unamaanisha niwekee contact zako tufanye biashara.nina s6 edge ni check
Asante mkuu,hii hapana MT chipset haitonifaa.Njoo nikuuzie samsung grand prime plus haina tatizo lolote iko kwenye hali nzuri kabisa
Chief wangu Tecno siziwezi kabisa.TECNO K7 250,000/=
Nimekuchek Pm kiongozinina s6 edge ni check
Mkuu Rashford Lingard best option nyingine yoyote kutoka kwako?kwa laki 3 dukan mbona unachukua samsung grand prime 293,000/=
Samsung galaxy note 4Hii hela ipo mfuko wa Shati wakuu....Sony,LG,Huawei na Samsung Kariibuni
Interested mkuu....nipe contacts nikuchekiSamsung galaxy note 4
Asante chief.Samsung Galaxy J3 Ya 2016
Iko Kwenye Hali Nzuri Bado Ina Warrant Ya Miaka Miwili
Uko mkoa gani??? Nikupe note 4Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
Dar Es Salaam..Uko mkoa gani??? Nikupe note 4