cash_money
Member
- Mar 18, 2017
- 42
- 19
Minimum specificaion:
2GB RAM,Internal memory 16GB..na chipset isiwe mediatek.
Kuna infinix note4 mpya nichek 0689095488
Minimum specificaion:
2GB RAM,Internal memory 16GB..na chipset isiwe mediatek.
Asante chief,mediatek device hapanaKuna infinix note4 mpya nichek 0689095488
Mediatek chipset ndio ikoje hyo mkuu tufafanulie kidogoAsante chief,mediatek device hapana
Okey mkuu,ni aina mojawapo ya mobile processor chief,ambayo inatumika sana katika midrange mobile phone.Hivyo hiyo infinix note 4 uliyoniambia ina aina hiyo ya Mediatek Soc ambayo mimi siipendelei.Mediatek chipset ndio ikoje hyo mkuu tufafanulie kidogo
So processor nzuri ni ipi chief?Okey mkuu,ni aina mojawapo ya mobile processor chief,ambayo inatumika sana katika midrange mobile phone.Hivyo hiyo infinix note 4 uliyoniambia ina aina hiyo ya Mediatek Soc ambayo mimi siipendelei.
Akikujibu unijulishe, maana hata mimi nafuatilia huu uzi nijue mwisho wa mwezi ninunue simu gani nzuri.So processor nzuri ni ipi chief?
SnapdragonSo processor nzuri ni ipi chief?
OkSnapdragon
mzee pia kuna nyingine naionaga inaitwa oxgnos na yenyewe cjui ni vipi?Ameijibu tayari mkuu check hapoAkikujibu unijulishe, maana hata mimi nafuatilia huu uzi nijue mwisho wa mwezi ninunue simu gani nzuri.



Exynos ni processor ambazo zinatengenezwa na Samsung,wakati Snapdragon zinatengenezwa na Qualcomm industry.. Ingawa kiubora bado Snapdragon ni bora zaidi ya Exynos na ndio maana hadi leo Samsung Electronics wanaendelea kuzitumia katika devices zao ingawa nao wana processor zao.Okmzee pia kuna nyingine naionaga inaitwa oxgnos na yenyewe cjui ni vipi?
Leta nikuuzie Huawei mate 5Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
Mkuu nisingeiiacha kuchukua hiyo simu kwa kweli.Kuna mdau kamaliza biashara usiku huuHaya bana
Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
Asante Chief, Nimechukua kila hatua ya usalama katika kununua simu mkononi kwa mtu.Ni kweli nimenunua simu usiku huu mbele ya camera zisizopungua nne na payment nimeifanya kupitia bank account.Maana kuna watu wanaouza mali zao halali ambazo hawazitumii au ni Biashara zao halali,na pia madukani kwetu hapo kariakoo ujinga ujinga na udanganyifu umekuwa mwingi saana ni bora kudeal na mtu mmoja.HABARI,
"The last don,
Ndugu wachana na simu za mikononi watu wanakabwa na kuuwawa wanachukuliwa simu,Wakitafuta kwa IMEI(International Mobile Equipment Identity )Wanakukamata haraka unaingia matatizoni.
Hiyo pesa inatosha kabisa kwenda kwa maagent wa hizo brand na unapata simu mpya original ukiwa salama.
Ni ushauri tu.
LUMUMBA
Mkuu mbona kama internal memory ni gb 8 mkuuMinimum specificaion:
2GB RAM,Internal memory 16GB..na chipset isiwe mediatek.
Asante Chief, Nimechukua kila hatua ya usalama katika kununua simu mkononi kwa mtu.Ni kweli nimenunua simu usiku huu mbele ya camera zisizopungua nne na payment nimeifanya kupitia bank account.Maana kuna watu wanaouza mali zao halali ambazo hawazitumii au ni Biashara zao halali,na pia madukani kwetu hapo kariakoo ujinga ujinga na udanganyifu umekuwa mwingi saana ni bora kudeal na mtu mmoja.