Karibuni kwa mliopo mkoa wa Dar, Pwani, Mbeya, Iringa, Njombe Rukwa na Katavi
Dar utapata aina ya SINGSUNG, ni nzuri sana. In fact ni second to SAMSUNG. Mimi ninayo ni nzuri na bei zake pale Kariakoo mitaa ya Msimbazi/Simba zipo tu. Kama huniamini, jaribu kuulizia kwa fundi TV suala hili.Karibuni kwa mliopo mkoa wa Dar, Pwani, Mbeya, Iringa, Njombe Rukwa na Katavi