Kristonsia Nkya JF-Expert Member Jun 24, 2013 301 290 Oct 29, 2016 #1 Hakim: kijana unahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kuuza gongo na konyagi. Mtuhumiwa: Lakin vile ni vifaa tu mlivyovikuta navyo hamjanikuta na gongo. Hakim: Wewee nyamaza!!! Ukikutwa na Vifaa vya kutengeneza gongo lazima utakuwa mtengeneza gongo mzur sana we. Mtuhumiwa: bas mnihukum pia kwa kosa la kubaka Hakim:Haaaa!!!kumbe ulibaka pia???? Mtuhumiwa: Hapana skubaka ila Nina kifaa cha kubakia. Hakim: kioneshe, kiko wapi?? Mtuhumiwa: (akafungua zipu ya suruali na kuonesha mashine yake) “Hiki hapa" Hakim: Kuanzia sasa uko huru
Hakim: kijana unahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la kuuza gongo na konyagi. Mtuhumiwa: Lakin vile ni vifaa tu mlivyovikuta navyo hamjanikuta na gongo. Hakim: Wewee nyamaza!!! Ukikutwa na Vifaa vya kutengeneza gongo lazima utakuwa mtengeneza gongo mzur sana we. Mtuhumiwa: bas mnihukum pia kwa kosa la kubaka Hakim:Haaaa!!!kumbe ulibaka pia???? Mtuhumiwa: Hapana skubaka ila Nina kifaa cha kubakia. Hakim: kioneshe, kiko wapi?? Mtuhumiwa: (akafungua zipu ya suruali na kuonesha mashine yake) “Hiki hapa" Hakim: Kuanzia sasa uko huru
U ustadhijuma JF-Expert Member Jul 20, 2015 3,020 1,968 Oct 29, 2016 #3 ngoja Nami nitajaribu mahakamani