GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,697
- 109,125
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasili katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), ulioanzishwa na Mama Anna Mkapa.
Chanzo: Azam TV
Mfuko wa WAMA niliupenda sana kwakuwa ulitufanya hasa kule Mashuleni na Vyuoni tusome na wenye Gridi ya Taifa.
Chanzo: Azam TV
Mfuko wa WAMA niliupenda sana kwakuwa ulitufanya hasa kule Mashuleni na Vyuoni tusome na wenye Gridi ya Taifa.