Nina Chuki kubwa sana na CCM

Nina Chuki kubwa sana na CCM

Keshanunuliwa viroba kalewa shida zimemzidi kakurupuka na hangover anaanza kuweweseka .Warudie waliokupa offer ya viroba au nenda kwa Mushi kanunue kamba upunguze udhia.

Umejileta kenge wewe,si ndo wewe mkeo alikuwa anagawa tigo kakola? kama wewe mwanaume kweli kataa nimtaje mkeo,pumbavu kabisa,mimi ni upepo u can't see me,hujui nakujua,situmii pombe yoyote kwa taarifa yako,wewe ndo una stress za kubebewa mkeo,ukijaribu tu kubwabwaja nawataja wote wanaomlala mkeo,lijinga wewe.
 
Isiwe na chuki juu ya mtu mjinga utakuwa haumsaidii kitu,muelimishe na ujinga wake utamtoka
 
Wewe umetoka kwenye ukoo wa waswahili,unadhani nami ni kama wewe?

Ndio nimetoka katika ukoo wa waswahili kwa sababu mimi ni mswahili na sio mzungu.. Vipi na wewe uliyetoka katika ukoo wa kizungu?
 
Ndio nimetoka katika ukoo wa waswahili kwa sababu mimi ni mswahili na sio mzungu.. Vipi na wewe uliyetoka katika ukoo wa kizungu?

Mimi nimetoka ktk ukoo wa waafrika,siyo waswahili wenye tabia za kinafiki.
 
I might have problems with the system
But at least they are trying..
kudos to Mkwere:rockon:
 
Leo naweka wazi chuki zangu nilizonazo dhidi ya chama tawala CCM na serikali yake yote, kila siku naomba itokee serikali yote ya CCM ipande ndege moja kisha hiyo ndege ipotee jumla kama ilivyopotea Malaysian Airways au rubani wake awe kichaa kama yule wa Germany Air wings aliyeigongesha ndege kwenye milima ya alps Ufaransa na kuua abiria wote 150, hilo likitokea Watanzania tutapumua na kupumzika, nina chuki kubwa na CCM kiasi kwamba pamoja na kuwa kila nafsi itaonja mauti mimi inapotokea mwana CCM amekufa nafsi yangu hufurahia sana kuwa kapunguza idadi ya kura za kuifanya CCM ikae ikulu, kwangu mimi kuwa CCM ni dhambi kubwa sana ambayo adhabu yake ni kifo, ni CCM ndo imenidhulumu zaidi ya mil 10 kwa utapeli wa kunikata kodi ambazo haziwasaidii hata watanzania wenye hali ngumu, ni CCM ambayo police wake wanakamata vijana na kuwabambika kesi za mauaji na zingine, ni CCM ambayo imeua waandishi kama Stan Kataboro, Mwangosi na Ndinani, ni CCM ambayo inataka kutuulia kiongozi wetu Dr Slaa, nina chuki kubwa sana na CCM.

Ndugu yangu huko unakoelekea siko maana naamini hata wazazi wako pengine ni wana ccm, ninafikiri hujafahamu vizuri tatizo la nchi yetu linatokea wapi, hujafahamu vizuri kasoro za sisi wa Africa, unaweza ukaichukia ccm, lakini pata muda kidogo jiulize CCM ni nani? je kwa tabia zetu watanzania tunaweza kubadilika kifikra kwa kuleta pengine chama kingine kitawale? ushahidi uko wazi hebu angalia busara na hekima za baadhi ya wanachama au viongozi wa vyama vingine wakiwa bungeni, je hao ndiyo wanaweza kutufikisha au kubadilisha hizo kero unazoona? unadhani kuna chama kitakuja kiseme usilipe kodi? kunachama kitakuja kiseme waliojenga mabondeni waendelee kukaa huko? kuna chama kitakuja kiseme anayetaka kuandamana aandamane bila kufuata taratibuuu? Nafikiri kabla huja laumu chama cha mapinduzi unakila sababu ya kutafakari mara kadhaa.
:msela:
 
Leo naweka wazi chuki zangu nilizonazo dhidi ya chama tawala CCM na serikali yake yote, kila siku naomba itokee serikali yote ya CCM ipande ndege moja kisha hiyo ndege ipotee jumla kama ilivyopotea Malaysian Airways au rubani wake awe kichaa kama yule wa Germany Air wings aliyeigongesha ndege kwenye milima ya alps Ufaransa na kuua abiria wote 150, hilo likitokea Watanzania tutapumua na kupumzika, nina chuki kubwa na CCM kiasi kwamba pamoja na kuwa kila nafsi itaonja mauti mimi inapotokea mwana CCM amekufa nafsi yangu hufurahia sana kuwa kapunguza idadi ya kura za kuifanya CCM ikae ikulu, kwangu mimi kuwa CCM ni dhambi kubwa sana ambayo adhabu yake ni kifo, ni CCM ndo imenidhulumu zaidi ya mil 10 kwa utapeli wa kunikata kodi ambazo haziwasaidii hata watanzania wenye hali ngumu, ni CCM ambayo police wake wanakamata vijana na kuwabambika kesi za mauaji na zingine, ni CCM ambayo imeua waandishi kama Stan Kataboro, Mwangosi na Ndinani, ni CCM ambayo inataka kutuulia kiongozi wetu Dr Slaa, nina chuki kubwa sana na CCM.

Haina sababu ya kusali sala mbaya hivyo dhidi ya mwenzio/wenzio maana Mungu mwenyewe aliruhusu hayo yote yatokee,kusali sala ya kuomba uhai wa wenzako kupotea sidhani km ni sala nzuri,mimi sifungamani na upande wowote.
 
Haisaidii Kuichukia CCM.

Ni vyema ukawachukia Wazazi wako kwa kushindwa kupata nafasi za ngazi za juu ndani ya CCM kiasi cha kupelekea we we kuishi kwa kulalamika kama ivyo.

nakushauri ukaanze ni vyema ukajiunga CCM na kutafuta ngazi ya juu ili watoto wako na kizaz kisije lalama km unavyolalama.

if you can't hit them then join them

Wewe ni mjinga sana,pengine kuliko wajinga wote Tanzania,comment yako inaonyesha upeo wako wa ulivyo mdogo ktk kufikiri.
 
Back
Top Bottom