wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Leo naweka wazi chuki zangu nilizonazo dhidi ya chama tawala CCM na serikali yake yote, kila siku naomba itokee serikali yote ya CCM ipande ndege moja kisha hiyo ndege ipotee jumla kama ilivyopotea Malaysian Airways au rubani wake awe kichaa kama yule wa Germany Air wings aliyeigongesha ndege kwenye milima ya alps Ufaransa na kuua abiria wote 150, hilo likitokea Watanzania tutapumua na kupumzika, nina chuki kubwa na CCM kiasi kwamba pamoja na kuwa kila nafsi itaonja mauti mimi inapotokea mwana CCM amekufa nafsi yangu hufurahia sana kuwa kapunguza idadi ya kura za kuifanya CCM ikae ikulu, kwangu mimi kuwa CCM ni dhambi kubwa sana ambayo adhabu yake ni kifo, ni CCM ndo imenidhulumu zaidi ya mil 10 kwa utapeli wa kunikata kodi ambazo haziwasaidii hata watanzania wenye hali ngumu, ni CCM ambayo police wake wanakamata vijana na kuwabambika kesi za mauaji na zingine, ni CCM ambayo imeua waandishi kama Stan Kataboro, Mwangosi na Ndinani, ni CCM ambayo inataka kutuulia kiongozi wetu Dr Slaa, nina chuki kubwa sana na CCM.