ur so sweet smile,damn!NGOJA NIWAPE HILI...NILIPIKA JPILI.
msinilaumu mimi napenda kuku bana .. so leo nitawafunza jinsi ya kuitengeza. ni rahisi sana na auhitaji kuwa mpishi mtaalam wa kupika na ni poa sana ukimuandalia hasaa umpendae au familia na marafiki kwa jumla.
mahitaji
KUKU MZIMA WA KIZUNGU
TANGAWIZI MOJA KUBWA
VITUNGUU VIWILI VIKUBWA NYEUPE
KITUNGUU SAUMU
KARANGA - vijiko vitatu vyikubwa kile cha kulia ..teh usije weka cha kusevia ..loh!
MAZIWA NUSU KIKOMBE
NYANYA MBILI KUBWA
YAI MOJA LILILO CHEMSHWA
CHICKEN CUBE 1.
GARAM MASALA KIJIKO KIMOJA KIDOGO
MAFUTA YA MAJI YA KUPIKIA
procedure
kata kata vitunguu saumu, tangawizi, vititunguu maji na karanga, weka ndani ya kinu kisha twanga hadi utengeze thick paste na ziingiliane kuwa mchanganyiko mmoja
weka mafuta nusu kikombe kwenye sufuria kisha injika motoni hadi ipate moto kiasi kisha weka mchanganyiko wako wa vitungu na koroga huku ukiongezea maziwa kidogo kidogo hadi iive na kuwa rangi kama golden brown
chukua nyama yako ya kuku kisha weka ndani ya mkaango wako wa vitungu endelea kukoroga hadi nazo pia ziwe brown ya kungaa ngaa
baada ya hapo weka nyanya, garam masala, chicken cube, karanga na chumvi kisha endelea kukoroga hadi mix ikauke kabisa na kuwa nzitoo!!
ongezea maji ya moto vikombe viwili kisha punguza moto, funika wacha itokote pole pole hadi nyama iive na kuwa laini. mchuzi wake pia utakuwa ni mzito kweli
baada ya chakula kuiva. kata kata yai laki slices nyembamba kisha kwenye bakuli unalopakulia kitoeo chako, changanyia humo humo kisha peleka mezani tayari kwa kula. inateremka poa ukila na chapati, ubweche- rice, ugali au mapotatoes..
ukishindwa ni pm wekend tugonge vitu! uje na kuku wako tu wawili maana mi mmoja hanitoshi loh!
NGOJA NIWAPE HILI...NILIPIKA JPILI.
msinilaumu mimi napenda kuku bana .. so leo nitawafunza jinsi ya kuitengeza. ni rahisi sana na auhitaji kuwa mpishi mtaalam wa kupika na ni poa sana ukimuandalia hasaa umpendae au familia na marafiki kwa jumla.
mahitaji
KUKU MZIMA WA KIZUNGU
TANGAWIZI MOJA KUBWA
VITUNGUU VIWILI VIKUBWA NYEUPE
KITUNGUU SAUMU
KARANGA - vijiko vitatu vyikubwa kile cha kulia ..teh usije weka cha kusevia ..loh!
MAZIWA NUSU KIKOMBE
NYANYA MBILI KUBWA
YAI MOJA LILILO CHEMSHWA
CHICKEN CUBE 1.
GARAM MASALA KIJIKO KIMOJA KIDOGO
MAFUTA YA MAJI YA KUPIKIA
procedure
kata kata vitunguu saumu, tangawizi, vititunguu maji na karanga, weka ndani ya kinu kisha twanga hadi utengeze thick paste na ziingiliane kuwa mchanganyiko mmoja
weka mafuta nusu kikombe kwenye sufuria kisha injika motoni hadi ipate moto kiasi kisha weka mchanganyiko wako wa vitungu na koroga huku ukiongezea maziwa kidogo kidogo hadi iive na kuwa rangi kama golden brown
chukua nyama yako ya kuku kisha weka ndani ya mkaango wako wa vitungu endelea kukoroga hadi nazo pia ziwe brown ya kungaa ngaa
baada ya hapo weka nyanya, garam masala, chicken cube, karanga na chumvi kisha endelea kukoroga hadi mix ikauke kabisa na kuwa nzitoo!!
ongezea maji ya moto vikombe viwili kisha punguza moto, funika wacha itokote pole pole hadi nyama iive na kuwa laini. mchuzi wake pia utakuwa ni mzito kweli
baada ya chakula kuiva. kata kata yai laki slices nyembamba kisha kwenye bakuli unalopakulia kitoeo chako, changanyia humo humo kisha peleka mezani tayari kwa kula. inateremka poa ukila na chapati, ubweche- rice, ugali au mapotatoes..
ukishindwa ni pm wekend tugonge vitu! uje na kuku wako tu wawili maana mi mmoja hanitoshi loh!
karanga ni zilizosagwa mkuu twanga kwenye kinu au blender..mkuu sisi wengine wabara kiswahiri kidogo not richable kama huwi specific : karanga zilizotwangwa au ? Kitunguu swaumu kimoja ina maana kizima au pingili moja ? je, tangawizi ya unga vipi inafaa na kipimo ?
nimeedit kuna mahali nilikosea ...ili vitu visiungue ndo maana unatakiwa uweke maziwa kidogokidogo my dear ...kama unavopikaga pilau unavolainisha vitunguu na maji same sameExperience yangu ni kuwa karanga zikipikwa muda mrefu zinaanza kushika kwenye sufuria na kuungulia (hata non stick pan). Labda kwa vile mafuta ya kupikia ni mengi sana (nusu kikombe sio mchezo)
Kweli umefuzu. Asante kwa kuniamsha usingizini manake garram masala huwa natumia kwenye beef tu! Na mix ya karanga na madhiwa sijawahi kufanya, nitajaribu.
Nakubaliana na ingredients zote lakn mafuta nusu kikombe?? hapana.hiyo nitaiondoa kabisa. Mazoezi nayo magumu jamanii.Experience yangu ni kuwa karanga zikipikwa muda mrefu zinaanza kushika kwenye sufuria na kuungulia (hata non stick pan). Labda kwa vile mafuta ya kupikia ni mengi sana (nusu kikombe sio mchezo)
Kweli umefuzu. Asante kwa kuniamsha usingizini manake garram masala huwa natumia kwenye beef tu! Na mix ya karanga na madhiwa sijawahi kufanya, nitajaribu.
kuku anaitwa smile nowdays,i didnt know that lolmimi swiit au kuku?
hadi kuku aive mchezo?
cause humchemshi dear ila waweza punguza pia ila sio mengi mbona?
Name calling!!kuku anaitwa smile nowdays,i didnt know that lol
ahaaa mwili wangu unashukrani balaa ,vikombe vyenyewe vya kichina hivi havina ujazo sahihi mimi nachotumia naona ni sawa ni hivi vidogo bwanaLakn kuku wa kisasa huwa sio wagumu....
Na unasema mafuta nusu kikombe sio mengi ati?ur kidding. Au wewe ndo miili dizaini haina shukrani..Hata ukinywa debe la mafuta unakuwa fresh tu??!!!!
name calling!!
ahahaa ushapika?