Nina certificate ya elimu msingi

Nina certificate ya elimu msingi

soma diploma ya huohuo ualimu..unataka maslahi yapi mkuu..! Maisha ndo hayahaya..ukiona mtu kafanikiwa na ameajiriwa,sio kirahisi bali amepambana sana nje na hio ajira..! Nakutakia kila la kheri
 
Acha kutuzingua bhna.. Yaan toka hapo unaanza kusoma ualimu ulikuwa huna vision yoyote mbeleni
 
Back
Top Bottom