Wadau nimetoka safari Mwanza nimefika home arusha mke wangu kanuna hanisemeshi. Nikimuuliza nn tatizo hasemi, nami toka niende Safari sijapiga nje (kuogopa magonjwa+KUBANA MaTUMIZi) nikijua nikija home nitapewa kipochi manyoya. Nitumie njia gani kupunguza hizi ash.Ki?