Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
ππππππππ
ππππππππ
Ushauri wako utafikiri unampa mtu mzima, kumbe katoto kalikofeli form 4 mwaka jana, anakwambia sina mpango wa kuwa na mtoto mwaka huu na kasisitiza sjui ya Mungu anayajua??Comrade mbona majibu yako wazi tu kwenye hill suala lako huyo demu wako wa zamani piga tofali mazima yaani unataka uuwe kiumbe kwa ajili ya huyo mpuuzi wako wa zamani? Huyo kipindi anakuzingua alishapata MTU sasa mambo yamemchachia ndio anataka kurudi kwako ogopa sana hawa viumbe, kingine cha kujifunza usipende /hutakiwi kupenda kwa moyo, penda kwa akili mana hawa viumbe tamaa ziko mbele sana huyo mwanamke piga chini angalia mbele.
mpaka sasa kuna dalili za mimi kuingia "tena" kwenye issue za kutoa kiumbe ambavo sikutarajia.
Wewe ni fala, demu amekuacha...ameenda huko yamemshinda anataka kujirudisha kwako na wewe unataka kukubali kurudiana. Huu utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge.Habari wakuu
Kuna binti nilikua nampenda sana na tumekua nae kwenye mahusiano kwa yapata mwaka mmoja
Badae alianza kubadilika hasa linapokuja suala la kunyanduana yani nikwa manati sana
kiufupi nikawa mpenzi wa kuitwa kwenye sms tu so nikaamua kumpotezea kimya kimya na nikiri wazi Jf ilikua chuo changu kizuri cha kufanikisha hilo.
Mwezi huu nilianza mahusiano na binti mwingine ingawa nilimuweka wazi kwamba sina mpango wa kupata mtoto mwaka huu
Siku ya valentine ndo tukazindua rasmi penzi kwa ku do na kulingana na mzunguko wake alonambia sikua na shaka kabisa maana alimaliza period 27 January
Sasa changamoto ni kuwa kuanzia juzi huyu binti mpya alinambia kuhusu mabadiliko ya kiafya yanayoashiria ujauzito na leo kapima kanambia ni mjamzito kibaya sina hisia nae kiivo kama yule binti alopita.
Cha ajabu binti alopita leo kanitafuta akaniita majina mazuri na akanambia anataka penzi letu tulianze upya kwani amegundua hawezi kupata furaha popote zaidi yangu.
Kiukweli nimehisi hasira sana maana yeye ndio amepelekea mpaka mimi kuwa na mtu ambae sikutarajia na mpaka sasa kuna dalili za mimi kuingia tena kwenye issue za kutoa kiumbe ambavo sikutarajia.
So nataka nimwambie hii issue ilonikuta sababu yake ili ajue cha kufanya
Je nitakua sahihi au nimechanganyikiwa.
Alianza tar24-27Alimaliza tar 27, je alianza tar ngapi? Km ameingia siku mbili je? 26, 27 akamaliza kuna wengine wana shida iyo, kuna watu wanapata Mimba adi siku ya 19
UnaiungajeNaunga hoja...
Ndio anashika ujauzito tena vizuri tuKaka nna malengo mengine kabisa kwa mwaka huu hili la ujauzito litanitoa kwenye mstari vibaya na nnahisi kuna kitu ananichezea mchezo huyu binti mpya
Ebu kama unajua kusoma calendar za wanawake hiyo tarehe inawezekana ashike ujauzito?
Ndioulimwaga ndani ?
Nihesabu vipiNdio anashika ujauzito tena vizuri tu
Hesabu kuanzia Tarehe 27
Kabisaaaahwanaume wengi hawajui na ni muhimu wajue kwa mustakabali wao mambo kama haya angekua anajua hiyo elim asingesumbuka kujua mimba imeingia lini




sasa wewe jidai unajua mahesabu