Nimwambie hali halisi?

Nimwambie hali halisi?

Comrade mbona majibu yako wazi tu kwenye hill suala lako huyo demu wako wa zamani piga tofali mazima yaani unataka uuwe kiumbe kwa ajili ya huyo mpuuzi wako wa zamani? Huyo kipindi anakuzingua alishapata MTU sasa mambo yamemchachia ndio anataka kurudi kwako ogopa sana hawa viumbe, kingine cha kujifunza usipende /hutakiwi kupenda kwa moyo, penda kwa akili mana hawa viumbe tamaa ziko mbele sana huyo mwanamke piga chini angalia mbele.
Ushauri wako utafikiri unampa mtu mzima, kumbe katoto kalikofeli form 4 mwaka jana, anakwambia sina mpango wa kuwa na mtoto mwaka huu na kasisitiza sjui ya Mungu anayajua??
 
Habari wakuu

Kuna binti nilikua nampenda sana na tumekua nae kwenye mahusiano kwa yapata mwaka mmoja
Badae alianza kubadilika hasa linapokuja suala la kunyanduana yani nikwa manati sana
kiufupi nikawa mpenzi wa kuitwa kwenye sms tu so nikaamua kumpotezea kimya kimya na nikiri wazi Jf ilikua chuo changu kizuri cha kufanikisha hilo.

Mwezi huu nilianza mahusiano na binti mwingine ingawa nilimuweka wazi kwamba sina mpango wa kupata mtoto mwaka huu

Siku ya valentine ndo tukazindua rasmi penzi kwa ku do na kulingana na mzunguko wake alonambia sikua na shaka kabisa maana alimaliza period 27 January

Sasa changamoto ni kuwa kuanzia juzi huyu binti mpya alinambia kuhusu mabadiliko ya kiafya yanayoashiria ujauzito na leo kapima kanambia ni mjamzito kibaya sina hisia nae kiivo kama yule binti alopita.

Cha ajabu binti alopita leo kanitafuta akaniita majina mazuri na akanambia anataka penzi letu tulianze upya kwani amegundua hawezi kupata furaha popote zaidi yangu.

Kiukweli nimehisi hasira sana maana yeye ndio amepelekea mpaka mimi kuwa na mtu ambae sikutarajia na mpaka sasa kuna dalili za mimi kuingia tena kwenye issue za kutoa kiumbe ambavo sikutarajia.


So nataka nimwambie hii issue ilonikuta sababu yake ili ajue cha kufanya

Je nitakua sahihi au nimechanganyikiwa.
Wewe ni fala, demu amekuacha...ameenda huko yamemshinda anataka kujirudisha kwako na wewe unataka kukubali kurudiana. Huu utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge.

Take yourtime. Atakuwa ana cheza na hisia zako tu, wakati anatafuta Mr. Right wake. Achana naye.

Endelea na huyo mpyatapendana on tje way.
 
Ulimwambia hutaki mtoto kwa sasa...na anakwambia ana mimba. Ushauri wangu nenda naye hospitali ukampime ujiridhishe kama kweli ana mimba...kama zimepita siku14 tangu msex, nunua kipimo akikojolee then cheki mistari. Kama kweli ana mimba lea mtoto...usimshauri atoe.
Ni hayo tu
 
Alimaliza tar 27, je alianza tar ngapi? Km ameingia siku mbili je? 26, 27 akamaliza kuna wengine wana shida iyo, kuna watu wanapata Mimba adi siku ya 19
Alianza tar24-27
 
Kama alimaliza tarehe 27/1

Tuchukulie alianza tarehe 24/1

Wewe umekuja kumtomba taree 14/2


Niwazi siku zake zakupata mimba zilikua kati ya tarehe 3--8 ambapo Yai lilitegemewa kutoka tarehe 6/2

Kuanzia tarehe 9 mpaka iyo 14 ulomtomba, mpaka leo hii , HIZO SIO SIKU ZA MIMBA.



nahitimisha kwa kusema kua, MIMBA SIO YAKO.
 
Lea mimba hiyo acha ukauzu,,hayo ni matokeo ya ulichokifanya sasa unashangaa nini?
 
Kaka nna malengo mengine kabisa kwa mwaka huu hili la ujauzito litanitoa kwenye mstari vibaya na nnahisi kuna kitu ananichezea mchezo huyu binti mpya

Ebu kama unajua kusoma calendar za wanawake hiyo tarehe inawezekana ashike ujauzito?
Ndio anashika ujauzito tena vizuri tu
Hesabu kuanzia Tarehe 27
 
Back
Top Bottom