Nimueleweje na nifanyaje?

Hili ndyo tatzo la wanaume kuchezea hisia za watu,dada believe me huyo jamaa atakuwa na mke,ila tu anashndwa kukpa ukwel,mtu anaekupenda hta kma hana hela ya kununua bando atakopa,ili hal tu ajue una hali gan,hapo hakna love kna USANII NA UBABAISHAJI.
 

Uuuwiii kusoma hujui hata kuangalia picha pia huwezi? mzima wewe au umeloogwaaa? mmm mahaba niue na unipoteze kama rasimu ya Warioba kama si ndege ya malasia
 
Wadada mlioko abroad mnapata shida sana likija swala la mapenzi. Jamaa kakosea kutokuwa muwazi kwako. Kwani angesema muachane angekosa kitu gani?

Pole, ukimya nao ni jibu. Anza upya. This time angalia usiende mbali na hapo unapoishi, unless kama unarudi home hivi karibuni.
 
hiyo nguvu uliyotumia heri ungeitumia kutafuta hela.....

Ni Kweli ukisemacho.Lakini kumbuka hela bila furaha moyoni na utu ni kama bure. Hela siku zote zipo utazitafuta , Je upendo na utu unaweza kuvipata kiurahisi kama hela? I doubt it . Asante sana!
 

Asante dear kwa uelewaji . Nakuwa mzito Wa Ku move on mapema , kwa sababu naona kama nitakuwa nimevunja ahadi zetu na kumsaliti . Nitafikiria kwa hili kama akiendelea ukimya zaidi . Niweke kwenye ndugu ili mungu anisaidie na kunionyesha njia sahihi. Asante sana .
 
Naomba nikuulize:
1. Uhusiano wenu una mda gani?
2. Mmewahi kuonana au ni mawasiliano ya mtandao tu?
 
Bora kipi, kimyakimya au live mezani??

Kwangu Napenda live ili tusije kulaumiana baadae , kwa Kweli . Ukiniambia sikufai moyo/ roho vitauma eehee lakini Nitashukuru na Ku move on na maisha yangu. Tena nitakuheshimu kwa ukweli ulioniambia . Asante .
 
Naomba nikuulize:
1. Uhusiano wenu una mda gani?
2. Mmewahi kuonana au ni mawasiliano ya mtandao tu?

Uhusiano haujafika mwaka Bado. Ndio tumeshawahi kuonana . Ila mambo Fulani Bado hatujawahi hata siku moja . Siko tayari kwa hili na tulikubaliana mpaka harusi. Asante.
 
Nahisi wewe ni mwenyeji humu ila umekuja na ID nyingine, siyo mbaya. Jipe muda, muda ni tiba ya kila ugonjwa hapa duniani. Ila in short huyo kaka mpole ameona hakuna jipya kwako, hivi anajipa muda ili aone kama yupo sahihi au lah.

Na wewe kaa kimya endelea na maisha yako tu, kama ipo, ipo tu!
 
Kitu live kinapendeza kweli kuliko kukaa kimya unakuwa unahisi unapendwa kumbe hakuna kitu

Ajabu sasa partners wengi hawawezi kuambiana ukweli. Na ikitokea ukamwambia mtu kuwa uhusiano wenu hauna future, utatukanwa matusi yote duniani...! Lakini kuambiwa ukweli kunakuacha huru..!
 
Ni kweli kabisa.
Kwangu Napenda live ili tusije kulaumiana baadae , kwa Kweli . Ukiniambia sikufai moyo/ roho vitauma eehee lakini Nitashukuru na Ku move on na maisha yangu. Tena nitakuheshimu kwa ukweli ulioniambia . Asante .
 

Mchepuko Mimi siwezi .

Nawasikiliza ndugu tafadhali.

Asante
Patience is the ultimate test for everything!
Nothing good will ever come out of you pushing him. Pia kumjazia messages sio move nzuri. Ungemtumia chache tu kumuuliza kulikoni, kwa sababu;
a) Kama hakupendi / kapata mwingine ukimsumbua haitosaidia. Muda wako ungeimvest kujifunza kuendelea bila yeye kuwa karibu kimawasiliano.

b) Kama anakupenda ataanza kukuogopa, kwa sababu atakuona too clingy and pushy. Saa nyingine kiasi cha kuweza kuahirisha mipango yake na wewe. Pia kwenye maisha kuna muda hamtokuwa karibu kimawasiliano. Haina maana hampendani hivyo ni vizuri kujifunza kukabili hali hiyo bila neno "Michepuko" kukupitia akilini. Wiki mbili tu ushaanza kutafuta uwezekaniko wa michepuko? Wenzio miaka inapita na wanakutwa wanasubiri...
 

Asante mpendwa! Ila Mimi ni mpya humu ndani.
 


Asante sana . Nitafanya hivyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…