ney kush JF-Expert Member Joined Feb 16, 2012 Posts 1,416 Reaction score 947 Dec 1, 2017 #81 MKUU ANAITWA NAN HUYO? NADHAN NDIE HUYU NILIEMEGA MKUU , NATANGULIZA POLE
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Dec 1, 2017 #82 USHAURI WA KIANAUME. VUMILIA HIYO WIKI IISHE, HALAFU BAADA YA HAPO ATAKAPOTUTAFUTA MWAMBIE MUONGEZE WIKI 3 NYINGINE, NAPO ZIKIISHA MWAMBIE HAUKO VIZURI MUONGEZE MWEZI TENA, YANI NDIO UNAMWACHA KAMA IFUATAVYO
USHAURI WA KIANAUME. VUMILIA HIYO WIKI IISHE, HALAFU BAADA YA HAPO ATAKAPOTUTAFUTA MWAMBIE MUONGEZE WIKI 3 NYINGINE, NAPO ZIKIISHA MWAMBIE HAUKO VIZURI MUONGEZE MWEZI TENA, YANI NDIO UNAMWACHA KAMA IFUATAVYO
N Nkwabichalleslutonja Member Joined Jul 12, 2017 Posts 84 Reaction score 77 Dec 1, 2017 #83 wajaja tayari washawahi siti mkuu jiongeze
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Dec 1, 2017 #84 Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano. Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!!
Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano. Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!!
Mjasiri na Mali JF-Expert Member Joined Jun 24, 2017 Posts 5,365 Reaction score 14,182 Dec 1, 2017 #85 Teknolojia inakuwa na mapenzi yanakuwa enzi zetu mambo kama haya hayakuwepo... Ban hadi kwenye mapenzi sijui vijana mnaelekea wapi
Teknolojia inakuwa na mapenzi yanakuwa enzi zetu mambo kama haya hayakuwepo... Ban hadi kwenye mapenzi sijui vijana mnaelekea wapi
M mbuchii Member Joined Dec 1, 2017 Posts 12 Reaction score 9 Dec 2, 2017 Thread starter #86 Mentor said: Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano. Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!! Click to expand... mkuu miaka 30 na binti 25....kazi nzuri na kipato kizuri tu kwa kufanyia fujo kitaa...haya mwaga ushauri wako sasa....
Mentor said: Natamani kutoa ushauri ila sijui kwanini natamani kuuliza umri wako na kazi uifanyayo mkuu. Nahisi kuna uhusiano. Hata hivyo, nikushauri ushauri general, acha zinaa!!!! Click to expand... mkuu miaka 30 na binti 25....kazi nzuri na kipato kizuri tu kwa kufanyia fujo kitaa...haya mwaga ushauri wako sasa....