Mkuu kwa Maelezo ya jamaa ni kwamba tayari mwanamke anakitu ameshakiweka moyoni mwake toka alipoikuta ile SMS, angekua ni mtu mwenye kusamehe na kusahau wangeendelea na maisha mengine na si kukaa na kitu moyoni. Hapo mwanamke hatakuja kumwamini huyu jamaa hata iweje zaidi zaidi yeye (mwanaume) atakua ana feel guilty mda mwingi na penzi la dhati hakuna tena.Mkuu kirahisi hivyo?ukipenda na ukaweka malengo na mtu ni ngumu hilo jambo.waweza fanikiwa ushinda moyo ili umuache lkn malengo mengine yakawa in progress ukabaki dilemma
I got u mkuu. Ila mapenzi magumu sanaMkuu kwa Maelezo ya jamaa ni kwamba tayari mwanamke anakitu ameshakiweka moyoni mwake toka alipoikuta ile SMS, angekua ni mtu mwenye kusamehe na kusahau wangeendelea na maisha mengine na si kukaa na kitu moyoni. Hapo mwanamke hatakuja kumwamini huyu jamaa hata iweje zaidi zaidi yeye (mwanaume) atakua ana feel guilty mda mwingi na penzi la dhati hakuna tena.
Acha tu mkuu!I got u mkuu. Ila mapenzi magumu sana
Fuata huu ushauri mkuuMmhhhhh pole sana ..sure wanawanake niwepesi wakupoteza shauku namtu pindi wanapogundua jambo baya kutoka kwako.
Labda niseme ,Akunyimae mbaazi kakupunguzia mashuzi.
Embu Fanya ivi ,,Fanya mambo yako ,,mchukulie km mshikaji ivi ,,yaan nawewe Fanya km hakupi shida .
Mwanamke akikuigizia kama mjane ... Nawewe muigizie km Mgane !!!.
ndo hivyoo mkuu...jaribu kunielewa tu mkuuMkuu huu uandishi wako...!!! ???
Hahahaha kweli humu duniani kuna vituko. Nimecheka sana aiseBadili namba ya simu! Hama makazi. Akiku unblock anakutana na sauti za automated machine za service provider i.e 'namba uliyopiga haipo'
Jinsi ya kuhama:
Kama unahamia mbezi nenda kakodi gari ya kubebea mizigo kigamboni, chukua huko na masela wawili wa kukusaidia kupakia vyombo.
Hama saa nane usiku.
Unakung'uta vumbi la mikono kama jerry anapomaliza nyodo za Tom.
me midemu ya hivyo ndo maana huwa naifumua mangumi,then watu wa humu jf wananiona sijui kucare.hawa vijana wanajifanya kuweka demokrasia na wanawake wa kibongo..ndo madhara yake haya sasaUko fom ngap dogo, mwanamke anakudanganya kirahisi ivo nawe unakubali, afu inakuwaje mnakua na democrasia kubwa ivo kwa wanawake eeh kehaaaa mnanishangaza aisee dem mnaenda date anakatalia dochi nawe unakubali eboooo
Jf kuna raha sana. Stress tupa kule ukiingia humuHahahaha kweli humu duniani kuna vituko. Nimecheka sana aise
Your argument is biased, why you should stay neutral? I think your advice would be more potential for him!
You concludes like the guy is injustice (boy) while his partner is justice at all. while the issue was yet discussed in both sides and agreements are reached.