What I mean is when you have only one plate to use you getti know all it’s flowersDo you mean M falsifies?
Reading between the lines, it look like you did not read the first paragraph between the lines.
M hajui chochote kuhusu D
Hahah! Basi tumuombe mtoa mada akuachie DWatu mna bahati yaani D na M wote wanafaa kuolewa. Mi nakutana na X kila siku.
Mkuu dalili zinaonesha D is the real deal
M kwa sasa ameuteka moyo wako kwa sababu siku zote kipya ni kinyemi (hapa wanaume wenzangu watanielewa kuhusu mzuka wa dem mpya)
Nakuhakikishia ukiisha achana na D, ukabaki na M akitokea S pia utaona ana sifa zote za D jumlisha sifa nyingine za ziada
Sababu za kumuacha zipo nyingi tu endapo unataka kumuacha mwenza. Unaweza hata mwambia uliwaeleza Wazazi wako kuhusu yeye, Wazazi wakakataa kabisa usije oa mtu wa kabila lao (necessary lie)
Hii itamuokoa mdada wa watu ambaye ni very innocent, na wewe ambaye kwa sasa unajiona kama upo gerezani
Lakini kuwa makini usije juta baadae kwa kumuacha Doris sijui Debora
fuata moyo wako ila kumbuka you have been in relation to M kwa mda mfupi af unamsifia et anatabia nzuri aisee chariii angu tabia ya mtu aisomwi kwa mwaka au miezi utaula wa chuya mimi hapo D naona yuko pouw kwako hata kama umuhitaji ila sawa coz wataalamu wa hayo mambo wanasema usikubali kuoa mwanamke eti kisa umezaa nae au umekuwa nae kwa mda mrefu oa yule ambaye umemridhia mwenyewe
Ndio shida ya kuomba ushauri kwa watu, binadamu tumeumbwa na moyo wa huruma. Naona karibu wote wamekushauri ubaki na D sababu ya huruma ambayo binadamu kaumbwa nayo bila kuangalia furaha yako
Nikwambie kitu kimoja na pengine hata wengine pia wakitilie maanani, mambo yote tunayofanya katika kupambana na maisha mwisho wa siku jambo la msingi ni "kuwa na furaha". Katika kuifikia hiyo furaha lazima upitie magumu hivyo Mimi sioni sababu ya kuogopa wewe kumuacha D na kuwa na M sababu M Ndio furaha yako, ukija kubwagwa na M sababu ya masikitiko ya D Hiyo ni sehemu ya mapito ya kufikia kwenye furaha yako.
Achana na mambo ya karma sijui masikito furaha yako Ndio kitu cha kwanza. Muache D kwa amani aende zake kamata M upate furaha.
NB: Ukiendelea na D utamuumiza zaidi kuliko ukimuacha sababu moyo wako na fikira zako zimesha hama hazipo tena kwake hivyo utaishia kumtesa tu
Kuwa makini unaweza wapoteza wote hivi nyie wakaka ka huna future na mtu siunamwambia mapema kuliko kumpotezea Dada wa watu mda, huyo D wa watu anza kupunguza mazoea naye taratibu ili umuache kwa Amani maana hujui yajayo, na huyo M kuwa makini jinsi unavompenda sana ndo atakuja kukuumiza sana mpaka ukajutraa, jifunze kutokuumiza hisia za watu wengine
Ila umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be carefulHili ndio lengo langu; Kutompotezea muda wake + Kutoumiza hisia zake
Ila umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be careful
Umeona mbali carihaIla umeshakaa naye mwaka mmoja na ushee hapo anza kumwambia M ukweli kuwa nilikuwa na flani nimesitisha naye mahusiano nataka Ku stick na wewe basi, maana D akajua atamtafta M yakuharibikie kote anza kumuelezea M kuhusu D, ili isiharibike kote, but karma is there be careful
Itakuja kula kwako maana hutajua D kapata taarifa saa ngapi na jinsi anavojitoa kwako atamtafta M kuna watu nawajua yaliwatokea ka yako mwisho kakosa yote kwahyo kumuandaa M kisaikolojia muhimu. Mficha maradhi pia inaonyesha hao wote wawatamani huna msimamo amua moja au huyo M uzuri umekuzuzua. Tena wakijua unawaxhaganya wewe utalia mnoSioni sababu ya kujulisha M suala la D. It is more safe kulimaliza hili kimyakimya.
Wanaume hufanya mzaha na hisia za watu hawafikiriagi consequences za mambo nyie huchukulia tu poa, ukiona una mahusiano ukahamia wa pili mwache wa kwanza aende tu maana humpendi ndo uka choose the second one, sasa mleta mada mda wako wa uongo unafika mwisho.Umeona mbali cariha