Ila binadamu tuna matatizo! Unamsaidia mtu huku roho inakuuma matokeo yake unalalamika pembeni. Msaidie mtu pale unapoweza, usijilazimishe. Kama hauna mwambie ukweli maana si wajibu wako wewe wa kumsaidia matatizo yake.
Naomba jero
Ila binadamu tuna matatizo! Unamsaidia mtu huku roho inakuuma matokeo yake unalalamika pembeni. Msaidie mtu pale unapoweza, usijilazimishe. Kama hauna mwambie ukweli maana si wajibu wako wewe wa kumsaidia matatizo yake.
Labda nikuulize suali kadhaa: Pamoja na mazingira ya kwao kua magumu,
- How was she surviving before she met you? Aendelee hivo hivo, na wewe uendelee kua "kaka yake"
- unadhani angekua mwanaume angefanyaje in order to meet her daily expenses? Basi hata yeye anaweza kufanya hivo hivo.
Ni kweli Husninyo, binadamu tuna matatizo! Ukisaidiwa mara moja, mbili ndo ujenge kibanda? Kama nimejitolea kukusaidia wala siwezi kunungunika, lakini ukiamua kuabuse kuwepo kwangu maishani kwako kwa kuhamishia shida zako zote zangu eti kwa kuwa nimekubali kukusaidia mara moja au mbili si njema.
Enhe! Ulimshirikisha God au mlipeana? Inawezekana mlipena kwanza ukamshirikisha God mwishoni, kwa kuungama!
kwani huwa anakulazimisha umsaidie? Bado una hiyari ya kumsaidia au lah na badala ya kuumia roho ni bora umwambie kama huna uwezo/ haupo tayari kumsaidi.
pole kaka.
mi mwenyewe nishakutana na dada mmoja wa dizani hiyo(but kwa sasa ni mwl. wa secondary mtwara)
Ilikuwa hivi; kila akinibeep au akicall anatangaza shida e.g kuku wa mamayake wamekosa dawa, so nimsaidie ela ili aweze
kununuwa dawa ili wasife, or recharge me, e.t.c)
kilicho nikera akibeep tu ana tangaza shida na kibaya zaidi akibeep nikicall ata salamu inamshinda analuka kwenye shida zake.
wanakele kinoma.
Huyo sasa alizidi. Mzee mpaka ulikuwa unahudumia mifugo ya home?
Pole sana kaka. Weka no yake kwa blacklst, au akikupga mzinga mfano,v2 vmeniishia,mwambie ata vyangu pia,akpga oh cna vocha,mwambie dah me mwnyew cjuw ntapata wap..atakoma
Astaghafirullah! Mpaka kiti moto? Teh teh! Uzuri mwenzangu ulikuwa unabadua taratibu I guess......
... akikupga mzinga mfano,v2 vmeniishia,mwambie ata vyangu pia,akpga oh cna vocha,mwambie dah me mwnyew cjuw ntapata wap..atakoma