Dunia hii bado kuna watu wanapiga wake zao....
Aibu sana kupiga mke
Anakuwa amepata ulabu kidogo au yupo mkavu mkavu tu
Anakuwa amepata ulabu ..ila ni jeuri kiasi kwamba akiwa sobber akiambiwa waongee hataki..kwahiyo mwanamke anakufa kisabuni
keshamsemea kwao lakini haijasaidia
Yani alionja kipondo kabla ya ndoa na bado akaingia??Kaaazi kweli kweli!Mwenzako karidhika we unahangaika!Angalia usije ukaambiwa unamwonea wivu tu!Waache na ndoa yao...siku akitaka ushauri atautafuta mwenyewe!
Huyo dada alianza kupigwa hata kabla ya ndoa, lakini akakubali kuolewa na vipigo vyake! Mwache mwenzio na ndoa yake!! Ningekuwa mimi ningemwambia asinisimulie tena, maana hakuna maana ya kusimulia!
napenda hiyo DA,,yani msisitizo..hehehe
hilo jibu alilokupa ndilo linafaa.....ni kweli ndoa ni kitu kingine na usisikie ya watu...mimi sina cha kukusaidia maana huyo rafiki yako ameshakusaidia hata wewe namna ya kukaa mbali na ndoa yake lakini bado unataka kututumbukiza na sisi humo ndani.....
yakimshinda atatoka yeye mwenyewe.....
Duh, ananipiga siku ya kwanza, navumilia,
Siku ya pili, nauliza umenioa uje kunipiga? Najua kwa ukorofi atanipiga tena.
Siku ya tatu, nashukuru kwa hiki kipigo kinanitosha kabisa, ngoja nitafute jinsi ya kukiepuka. Halafu ananipiga tena si nimemjibu, mwanaume hajibiwe haya.
Namuacha anaondoka, sehemu nitakayokanyaga wakati naondoka nahisi hapata ota majani tena.
Navumilia kipigo na mikono na miguu ninayo,
Kha hivi hakuna mke ***** eeh!!!
Duh, ananipiga siku ya kwanza, navumilia,
Siku ya pili, nauliza umenioa uje kunipiga? Najua kwa ukorofi atanipiga tena.
Siku ya tatu, nashukuru kwa hiki kipigo kinanitosha kabisa, ngoja nitafute jinsi ya kukiepuka. Halafu ananipiga tena si nimemjibu, mwanaume hajibiwe haya.
Namuacha anaondoka, sehemu nitakayokanyaga wakati naondoka nahisi hapata ota majani tena.
Navumilia kipigo na mikono na miguu ninayo,
Kha hivi hakuna mke ***** eeh!!!
Huyo dada alianza kupigwa hata kabla ya ndoa, lakini akakubali kuolewa na vipigo vyake! Mwache mwenzio na ndoa yake!! Ningekuwa mimi ningemwambia asinisimulie tena, maana hakuna maana ya kusimulia!