NIMSAIDIEJE MKE WANGU (msaada tafadhari)

na kwa huyu mwanamke hatokaa anunue hata tofali la sample maana akijikusanya kidogo tu hela zote zinaishia kwa madalali si unajua masharti ya upangaji mpya?

hahaaa one month yote unampatia dalali....
amrudishe kwao akipauka ndo akili itamtulia ku kichwa.....
 
hahaaa one month yote unampatia dalali....
amrudishe kwao akipauka ndo akili itamtulia ku kichwa.....
bado kuhamisha vitu, bado uharibifu hii hasara si angejenga msingi wa choo
kuhama ni kazi jamani...
 
ndio tatizo la wanawake waliopatikania JF,unaoa mwanamke humjui vizuri,hujakaa nae kumsoma tabia zake.pole sana,cha msingi jitahidi ujenge nyumba yako labda atapunguza ukorofi

sie umbea wetu ni wa hum hum JF huyo baba au mama mwenye nyumba tunamsema saa ngapi....?
nahisi ulichanganya babala ya FB ukaandika JF otherwise unless your totally wrong
 
Sina cha kukushauri juu ya mke wa namna hiyo zaidi ya kulikabidhi suala lako kwa Mungu.

Siku utakayohamia kwenye nyumba na ukaona anapatana na mama mwenye nyumba, basi ujue mwisho wako uko karibu, atakuwa amekutana na mchawi mwenzake.
 
Pole kaka kwa yaliyokukuta. Naomba nikushauri kutokana na uzoefu nilionao na aina hiyo ya wanawake. Kaka yangu alipata such a problem halafu yeye alikuwa anaishi Mwananyamala. Huwezi amini ndani ya mwaka wanaweza kuhama nyumba hadi 3!!My brother alkuwa mpole sana na asiye na maneno mengi hata mke hakumuogopa. Kaka aliuamulia mkewe na akawa bonge la dictator yaani alimpeleka vile anataka awe na bila kusahau vichapo vya mara kwa mara pale afanyapo ndivyo sivyo, mbona alinyooka mwenyewe? Huyo dawa yake ndogo sana, fanya kama alivyofanya huyu mwanaume mwenzio
 


Well said lara 1

wanawake wengine wana bahati...

Natamani ningemuona kilaza kama huyo...saivi angekuwa ana mguu mmoja wa bandia tayari..

Sipendi kabisa mwanamke mpumbav mimi...atanirudisha nyuma!

 
Last edited by a moderator:

Hata akijenga sindo atagombana na mtaa wote.mke watu alafu anashindwa kujielewa.huyo atakuwa mpekupeku maana mpaka kuzoea mabinti wakazi kama si umbea nini?ampe vitasa ataacha.
 

Hapo umenena.akisutwa namatarumbeta au magunzi lazima atatulia.
 

Mkeo mchawi. Im so sory to say so.
 
Uelezeaji wako wa huu mkasa unasema mengi sana juu yako.

Afu mkeo kawa 'tetesi'? Huna hata hakika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…