Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
ahahaaa watu wachokozi huku bwana acha hiii hii ya gizaKale ka jeans ya blue bhana....au ndio tayari ulisha kauza.
ahahaaa watu wachokozi huku bwana acha hiii hii ya gizaKale ka jeans ya blue bhana....au ndio tayari ulisha kauza.
na kwa huyu mwanamke hatokaa anunue hata tofali la sample maana akijikusanya kidogo tu hela zote zinaishia kwa madalali si unajua masharti ya upangaji mpya?
ahahaaa watu wachokozi huku bwana acha hiii hii ya giza
bado kuhamisha vitu, bado uharibifu hii hasara si angejenga msingi wa choohahaaa one month yote unampatia dalali....
amrudishe kwao akipauka ndo akili itamtulia ku kichwa.....
ndio tatizo la wanawake waliopatikania JF,unaoa mwanamke humjui vizuri,hujakaa nae kumsoma tabia zake.pole sana,cha msingi jitahidi ujenge nyumba yako labda atapunguza ukorofi
Take it from my Father NEVER EVER REASON WITH A WOMAN!!!!!!!! A battle with a woman is a lost battle before fighting! Ukimshinda unamuonea, akikushinda unamuogopa na hukohoi mbele yake! Either way you are doomed!
Swala ni rahisi tu hilo mbona!
1. Mpe onyo kali tena mbele ya wazazi wake, na useme bayana akirudia hata chembe unamrudisha kwao. (Nuhakika atarudia tu kujifanya mtu mzima hatishiwi nyau!)
2. Mkiambiwa muhame mrudishe kwao ake huko hata miezi 6 ukitanabaisha bayana umechoshwa na ukosefu wa nizamu wa mkeo. Ukimfata waambie wote akirudia tena Talaka! coz ushamuacha miezi 6, akili zitakaa fresh.
3.Sababu anakupima na kukujaribu, kitu unamwambia asifanye anafanya na wewe uwe unarudisha majaribu yake pia maksudi! Kama hivo unamuuliza kistarabu nilikwambiaje kuleta kidomodomo? Akijibu jeuri, humpi pesa ya kujinafasi na sababu unamwambia ana kiburi, Humpi mpka anyooke!
Vinginevo atakukalia mpaka kichwani huyo bidada. Chukua Rula umnyooshe!
si ujenge mkuu hata room mbili....utaishi maisha ya kipastoralist hadi lini?
na huyo mkeo mrudishe kwao miezi sita akafundwe mweee..
mfupa uliomshinda fisi utauwezea wapi..mwishoni utahamishwa hata nchi kisa mke...na wewe upo tu ....kuwa mume acha uboya..
wanawake kama hao wapo........,
huku kwetu kuna huyo mama kila siku wanafukuzwa kwenye nyumba kisa maneno
mi nimekuja mtaani nikamsikia maneno yake,sa hivi amehamia hapa nnapoishi keshaniongelea wee
mpaka amechoka sema mi sina time tu tungekuwa tushadundana.
kila siku wanakaa vikao harekebishiki,maana anajifanya anajua in and out ya kila mtu.
endelea tu kumvumilia......,ila siku wakija kumsuta na matarumbeta anaweza kupunguza
lakin kuacha hawezi inakua hulka yao.
"Habari Wakuu"
Tunaishi nyumba ya kupanga, kwa miaka minne tangu tuoane na mke wangu
tumefukuzwa mara mbili, na mpaka sasa bado hali ni tete:
NYUMBA ya1, Ndani ya miezi sita tuliketi zaidi ya mara mbili kuzungumzia tofauti zao
kati ya mke wangu na Ma mwenye nyumba.
Hatimae huyo Mama alisema; Kijana kabla hujaoa tumeishi nawe vizuri ila sasa!
nisionekane kuku vurugia ndoa yako tafuta nyumba uhame. kama tatizo liko kwangu
lita kua limekwisha.
Tuliamua kutafuta nyumba na yeye awe na kazi, tukiamini hata mashoga inaweza
kuchangia migogoro, baada ya kupata nyumba tukahama.
NYUMBA ya2, Tulifungua duka la rejareja, alishindwa si kuuza wala kusimamia maana hata
mdogowake aliingia kuuza na kisha pesa kutia mfukoni mwake.
Niliamua kuacha kazi yangu kwa muda na kukaa mwenyewe. Ndipo nilipo gundua
kumbe hata hapo teari manenomaneno ya shaanza na Ma mwenye nyumba.
Tumeketi zaidi ya mara mbili na hatimae tulifukuzwa.
NYUMBA ya3 Kaanzisha mahusiano na msichana wa kazi wa Ba mwenye nyumba.
Nilimshauri aachane nae hakusikia, baba mwny nyumba nae alituonya kusiana na
ukaribu wao lakini bado unaendelea.
Sasa huyo Binti ni mjamzito na inasemekana kutokana na ukaribu wao, hata mke wangu
amechangia. Mama mwny nyumba kafikia hatua yakumwambia mmewe tuhame.
Tuna mtoto mmoja mwenye miaka mitatu, nakosa amani sababu ya mke tuu.
(Naomba ushauri wenu tafadhari.)
bora breaking news eehUelezeaji wako wa huu mkasa unasema mengi sana juu yako.
Afu mkeo kawa 'tetesi'? Huna hata hakika?