Nimsaidie mama angu au mpenzi Wangu ?

Nimsaidie mama angu au mpenzi Wangu ?

Wakuu naombeni ushauri.

Nina simu mbili, zote za ni Smart.

Mama na mpenz wangu wana simu za button.

Wote waniomba hiyo simu kwa wakati mmoja.

Nampenda sana mpenz wangu kiukweli ni kama rafiki yangu.

Na amekua wa msaada mkubwa kwenye badiliko la maisha yangu.

Kwa upende wa pili mama ni mama tu.

Nipo njia panda nifanyeje?
...Dah, Mkuu yaani mara hii umeishafikia hatua ya kumshindanisha Mama yako na rafiki tu wa Kike??[emoji848]
Hivi umeishasikia wale wanaolipia marafiki zao Ada lakini wanaishia kuachwa? Sembuse simu?
Mpe Mama hiyo simu bwana !!![emoji34][emoji34][emoji34]
 
Mama ni mama mkuu hafananishwi na chochote

Mpe simu mama yako aliyekutoa tumboni uzidi kupata baraka mkuu
 
Mama ni mama mkuu hafananishwi na chochote

Mpe simu mama yako aliyekutoa tumboni uzidi kupata baraka mkuu

Mtashangaa mnamshauri vizuri hapa alafu na bado akaenda kumpa mpenzi wake! dunia ina maajabu
 
Mtashangaa mnamshauri vizuri hapa alafu na bado akaenda kumpa mpenzi wake! dunia ina maajabu
Kweli mkuu unachosema
Kulikuwa hakuna haja ya kuleta thread kama hii angefanya maamuzi hukohuko kama mwanaume
 
Kuna mama mmoja alikua ananiambia mwanangu Christopher kuzaa Ni Kama kuweka mkono nje tu unaweza pata mtoto au shetani.. Sijui alikua anamaana gani, Yan Unatuuliza nani umjali kwanza kati ya mama na mupenzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu naombeni ushauri.

Nina simu mbili, zote za ni Smart.

Mama na mpenz wangu wana simu za button.

Wote waniomba hiyo simu kwa wakati mmoja.

Nampenda sana mpenz wangu kiukweli ni kama rafiki yangu.

Na amekua wa msaada mkubwa kwenye badiliko la maisha yangu.

Kwa upende wa pili mama ni mama tu.

Nipo njia panda nifanyeje?
Una simu mbili (smart), wanaokuomba ni wawili, sasa unajiuliza nini? Wape kila mtu moja!
 
Sikiliza hapa utapata jibu
 
Mama yako ana umri gani kwanza? Maana kuna umri ukifika kwa mama mtu mzima smartphone sidhani kama ina umuhimu sana.

Pia angalia huyo bebi wako anaeleweka? Ukishajiuliza hayo fanya maamuzi.
 
Nimesoma tu heading nimejikuta najizuia sana kukutukana ila nimekutukana sana kimoyo moyo pumbavu we
 
Wakuu naombeni ushauri.

Nina simu mbili, zote za ni Smart.

Mama na mpenz wangu wana simu za button.

Wote waniomba hiyo simu kwa wakati mmoja.

Nampenda sana mpenz wangu kiukweli ni kama rafiki yangu.

Na amekua wa msaada mkubwa kwenye badiliko la maisha yangu.

Kwa upende wa pili mama ni mama tu.

Nipo njia panda nifanyeje?
Mbona jibu ni rahisi tu,mpe mama yako hiyo simu.Wanawake wapo wengi aisee lakini mama yako ni mmoja tu.
 
Bahati yenu ujing.a kama huu mnaulizaga kwenye mitandao,laiti ungekutana na mimi na kuniuliza hili swali!!sa ivi ningekua nasomewa mashtaka
 
Wanaume tumepungua sana Wakuu .

Kulinda heshima ya wanaume ,naomba hii thread ifutwe moderators.
 
Kwa vile na mama nae kaomba mpe na yeye ajionee maajabu ya ulimwengu huu wa sasa
 
Wakuu naombeni ushauri.

Nina simu mbili, zote za ni Smart.

Mama na mpenz wangu wana simu za button.

Wote waniomba hiyo simu kwa wakati mmoja.

Nampenda sana mpenz wangu kiukweli ni kama rafiki yangu.

Na amekua wa msaada mkubwa kwenye badiliko la maisha yangu.

Kwa upende wa pili mama ni mama tu.

Nipo njia panda nifanyeje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili linipite tu
 
Back
Top Bottom