Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Tatizo lako huelewi au unajifanya huelewi. Ishu hapo ulitoa ahadi ya kurudisha pesa, inabidi ufanye hivyo, labda kama huna mjulishe.

Kuhusu mwanamke kugharamia mara moja moja (kama ana uwezo) ni suala jingine ambalo hata mimi nakuunga mkono.
 
Kiukweli kumpa fedha mwanaume asie mumeo eti kisa anakugonga ni dharau na aibu iliyopitiliza hatukuumbwa hivyo sisi wanawake, sasa naona Kama unalazimisha mtu wako awe na hulka za kiume na utaipata pata labda km unamtafutia sababu ya kumuacha

Ni rahisi Sana kwa mwanamke kukupa k bureee, ila ni ngumu mwanamke huyo huyo kukupa pesa yake hata buku 5 tu, tuna ubinafsi Sana, hii ni udhaifu wetu, Sasa wewe unashindana na huo udhaifu maana yake wewe ni dhaifu zaidi
We dada hebu ona aibu kidogo kwanini mnapenda sana kufanyiwa kilakitu kama walemavu.

Mki gegedwa mnafurahiya ududu mbaka mnakata moto mnazinduka badae alafu mkiambiwa mchangie garama hata maramoja katika maishayako yote mnaona kama mnatolewa roho!!!!

shenz taipu.
 
Tatizo lako huelewi au unajifanya huelewi. Ishu hapo ulitoa ahadi ya kurudisha pesa, inabidi ufanye hivyo, labda kama huna mjulishe.

Kuhusu mwanamke kugharamia mara moja moja (kama ana uwezo) ni suala jingine ambalo hata mimi nakuunga mkono.
Mkuu, ivi mtuwako pamanent unamwambia ungekuwa na mipango unge mgegeda alafu anadakia anasema mimi nitalipia lakini urudishe na anauwezo wakati kipesa we unamjibu nini.

Alafu miakayote wewe ndio unafanya kilakitu kuanzia usafiri malazi mitungi clab namengine meeeeengi, kumbuka hapo yeye anapesazake lakini hatumii kwa namna yoyote kwa miaka, then just one day ok, one day tena kulipia loge tu, chakula mitungi usafiri kilakitu ume sot out mwenyewe.

Alafu asubui anakutumia msj eti nirudishie elayangu, tena anamaanisha kabisa unamuelewaje.

Hawa madem nitatizo wanafeli kwenye vitu vidogosana.
 
Mkuu, ivi mtuwako pamanent unamwambia ungekuwa na mipango unge mgegeda alafu anadakia anasema mimi nitalipia lakini urudishe na anauwezo wakati kipesa we unamjibu nini.

Binafsi ningemuuliza kwa nini anataka nimrudishie?

Alafu miakayote wewe ndio unafanya kilakitu kuanzia usafiri malazi mitungi clab namengine meeeeengi, kumbuka hapo yeye anapesazake lakini hatumii kwa namna yoyote kwa miaka, then just one day ok, one day tena kulipia loge tu, chakula mitungi usafiri kilakitu ume sot out mwenyewe.
Mkuu umeshawahi kuzungumza nae kuhusu hilo?

Hawa madem nitatizo wanafeli kwenye vitu vidogosana.
Wewe ndio mwanaume unatakiwa umuongoze, kama bado haeleweki unapiga chini.

Mkuu nakushauri zungumza nae ajue sababu ya kutomrudishia pesa, mawasiliano ni muhimu. Usikute yeye anafikiria hutaki kumrudishia kwa kuwa unamtafutia sababu muachane.
 
Nawewe jaribu kulipia kiwanja sikumoja tu for life, for history.

Utajiongezea thamani kwa mtuwako.
Unafikiri roho ya ubinafsi inanitawala km huyo mtu wako? Kwa asili tuko wabinafsi ila tunazidiana jinsi ya kuuficha, siwezi kuumia kwa kutoa laki moja kwa mtu wakati mtu huyo huyo amewekeza zaidi ya milioni kwangu
 
Kwenye mapenzi hakuna Kukopeshanaa yanii...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mm mwanamke akishakuwa hvyo huwa siendelei nae na mahusiano...huyo 0p, mbinafsi na ana roho mbaya,hv wanawake wa hvyo huwa mnawatoa wap?[emoji23]...mm mke wangu ni mama wa nyumbani lkn huwa ana make vipesa ananichukulia zawadi kama saa,perfume...na kipindi sijamuoa alikuwa na kazi yake,akiwa na nyege anakuambia babe twende lodge unamkuta yupo chumban kashalipia unakula mbususu safi kabsa na hata kupiga pumbu unapiga kwa nguvu zotee[emoji12]
 
Back
Top Bottom