Sima jacson
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 135
- 66
😅Kwani makubaliano yalikuwa?? Umemsaliti mkeo u? And ur complaining??
😅Kwani makubaliano yalikuwa?? Umemsaliti mkeo u? And ur complaining??
Mechi za nje mkuu,si unajua wazuri sana huwa hatuoi ili tusiwe na presha za hapa na paleKwani makubaliano yalikuwa?? Umemsaliti mkeo u? And ur complaining??
Umesha mpachika mimba binti wa watu '---halafu una Tafuta sababu za kumuacha
Baadae akija kuzaa mtoto --- mnakuja Jf na kuanza kuwa kashifu single mothers. ..
Huo sio Uungwana aise
Ndio matatizo ya mechi za ugenini itabidi ukomae nae coz ana damu yako.Mechi za nje mkuu,si unajua wazuri sana huwa hatuoi ili tusiwe na presha za hapa na pale
ha ha ha haJamaa alikubali wajibu wa kuwa yeye ndiyo aliempa ujauzito atimize wajibu wa kulea
ha ha ha ha nikikupatia namba hutoonekana jf utakuwa unakaba muda wote
Kweli mkuuNdio matatizo ya mechi za ugenini itabidi ukomae nae coz ana damu yako.
Jamaa alikubali wajibu wa kuwa yeye ndiyo aliempa ujauzito atimize wajibu wa kulea
ha ha ha huyo akikutana na kiuno nyugwi chura matata hatutamuona jf.....tunaweza kuachiwa ID tu.Mpe namba Mkuu labda amevamiwa na vibaka sasa jamaa akimpigia vibaka wataogopa namba ngeni
Ikoje hiyo mkuu niifanyie kaziMpige juu
Mkuu kabla ya kumpiga chini hakikisha umechukua ujauzito wako.Nataka nimpige chini mchepuko,nampigia simu inaita haipokelewi na mawazo yanayoniijia kichwani kwa kutokupokea simu nahisi labda ni dharau au anapigwa mashine,mbaya zaidi anaujauzito wangu na kuna fedha aliomba kwangu ingawa nakuwa mgumu kuitekeleza yote;sasa nataka nitumie huu upenyo wa kutokupokea simu nimpige chini.Waungwana, mnasemaje kuhusu hilo?
Tatizo ni hisia mkuuUo upuuzi ndo nshamkataza mme wangu,mtu asipopokea smu kwa nin usiwaze labda kapata tatizo badala yake kitu cha kwanza unawaza anachepuka
ha ha ha haMkuu kabla ya kumpiga chini hakikisha umechukua ujauzito wako.
Unahamia kwake kabisa, hakutakuwa na sababu tena ya kupiga simuIkoje hiyo mkuu niifanyie kazi
ha ha ha ha ha hiyo siiwezi mkuu,kwa bi mkubwa itakuwa tatizoUnahamia kwake kabisa, hakutakuwa na sababu tena ya kupiga simu
Tupe uzoefu wako mkuuTumbaaafu!
Ukiona ivo hampendiKwanini usifikirie kuwa huwenda ikawa amepatwa na matatizo. .. badala yake unaanza kumuwazia mabaya tu !!!