PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
habari zenu!
Ninae jamaa yangu anae friend wa kike ambae amekua akishauriana nae kuhusu maisha. Lakin amekua akilalamika kwa tabia zake huyo dada...amekua akimlazimisha mara kwa mara ampe pesa za kujaza mafuta gari zake...japo dada anazo biashara zake nzuri.
Anahitaji kujua ni ipi siri ya huyo dada kumuomba mara kwa mara hizo laki (1 hundred thousand).
Jamaa amekua akimpa lakini anase,a amechoka...mbaya zaid huyo rafik anamuomba kama ni lazima.
Jamaa yangu amekua hana raha.
Afanyeje kumwacha nae hataki!!.
Ninae jamaa yangu anae friend wa kike ambae amekua akishauriana nae kuhusu maisha. Lakin amekua akilalamika kwa tabia zake huyo dada...amekua akimlazimisha mara kwa mara ampe pesa za kujaza mafuta gari zake...japo dada anazo biashara zake nzuri.
Anahitaji kujua ni ipi siri ya huyo dada kumuomba mara kwa mara hizo laki (1 hundred thousand).
Jamaa amekua akimpa lakini anase,a amechoka...mbaya zaid huyo rafik anamuomba kama ni lazima.
Jamaa yangu amekua hana raha.
Afanyeje kumwacha nae hataki!!.