Nimlipie au nikaushe

Kula mzigo na huyo mama mkwe ili aache dharau kwa wanaume anapata wapi nguvu ya kumdharau mwanaume aisee, akupe mbususu Kwanza ndio ulipe hiyo pesa kama hataki kuliwa usilipe kitu wasikusumbue Kwanza wanawake wa kuoa ni wengi sana.
 
Kweli kabisa siku zote lipa uovu kwa wema. Isitoshe wakati mwingine mtu anakukataa kwa sababu hakujui vizuri akikujua ataanza kujilaumu sana hayo ndiyo malipo yake.
 
Humuoi mama yake msaidie tu huyo mama atajifunza ubaya sasa anaweza taka kukupa mpaka Utamu na yeye[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…