SAYARI DUNIA
Member
- Jul 19, 2015
- 54
- 17
Nimekaa na baba yangu kwa miaka 19, lakini kumbe ni baba mlezi, hiyo imekuja baada ya baba ya halisi kujitokeza nikiwa form 'vi' nakunileza kila kitu kunihusu, ila tatizo mama hajaniambia chochote mpaka sasa.
USHAURI KWA WADAU JAMANI SIJUI NIBAKI KWA BABA MLEZI AU NIENDE KWA BABA HALISI.
USHAURI KWA WADAU JAMANI SIJUI NIBAKI KWA BABA MLEZI AU NIENDE KWA BABA HALISI.