DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wasalaam
Kwa miaka takriban minne sijaonekana humu jf,nimerudi Tena Kwa kasi
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Mwaka 2004 Kuna michuano iliyokuwa inaandaliwa na Kituo Cha yosso Cha Rollingston ya Arusha iliyomwibua Erasto Nyoni na wengine.
Moja ya timu shiriki no timu ya vijana wa Burundi
Katika timu Ile ukiachana na Rollingston yenyewe mchezaji wao hatari alikuwa Saidi Ntibazonkiza ama Seiduu na sio saido..
Sheigh amri abeid wanamjua na Ibrahim Maestro anamjua,alikuwa balaa,na alikuwa akiibuka mfungaji Bora...hiyo ni 2004 akiwa na kikosi Cha under 18.
Hoja yangu ni Kwa leo Seiduu Ana umri gani?
Kwa miaka takriban minne sijaonekana humu jf,nimerudi Tena Kwa kasi
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Mwaka 2004 Kuna michuano iliyokuwa inaandaliwa na Kituo Cha yosso Cha Rollingston ya Arusha iliyomwibua Erasto Nyoni na wengine.
Moja ya timu shiriki no timu ya vijana wa Burundi
Katika timu Ile ukiachana na Rollingston yenyewe mchezaji wao hatari alikuwa Saidi Ntibazonkiza ama Seiduu na sio saido..
Sheigh amri abeid wanamjua na Ibrahim Maestro anamjua,alikuwa balaa,na alikuwa akiibuka mfungaji Bora...hiyo ni 2004 akiwa na kikosi Cha under 18.
Hoja yangu ni Kwa leo Seiduu Ana umri gani?