bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,713
Chadomo rudi utete ujinga wako hapa leo...!Kijana Makala Jr; Umepiga kunako moyo kwa Magambaz walioazimisha akili zao wakidhani CDM inabeba Ma-dudu ya usaliti (pro ACT) yanayokula toka Lumumba na kutetewa na BUKU 7 waliojaa hapa JF...! na hiyo ndio salaam mpya ya vijana BAVICHA,...na katikati BAWACHA amejisimika Mwanamama Mdee....salamu kubwa zaidi inakuja M/Kiti Mbowe atakapochukua ndio ngoma itapasuka...nchi kuchukuliwa na umma inahitajika ishara zipi zaidi??