Nimfuate au nikomae tu?

Mwandike sms " Kwa kuwa hukutaka kunisikiliza ili ujue ukweli,sioni haja ya kukutafuta,maisha mema"

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kazi kweli kweli maamuzi ya mwisho unayo wewe mwenyewe sikilizia moyo wako.
 
kwakweli kuna watu hawajielewi,sasa mtu wa hivyo utawezaje kumuoa ikiwa yuko hivyo bila ndoa?
 
Baada ya kuona hakuamini ungemwambia muende wote akajionee kisha angerudi nyumbani baadae. Inaweza kuwa ni kutojiamini sababu hamjakaa pamoja muda mrefu anaamini ulishakuwa na demu mjini. Mtafute ni mama wa mwanao..
 
Baada ya kuona hakuamini ungemwambia muende wote akajionee kisha angerudi nyumbani baadae. Inaweza kuwa ni kutojiamini sababu hamjakaa pamoja muda mrefu anaamini ulishakuwa na demu mjini. Mtafute ni mama wa mwanao..
Hiyo demokrasia kwangu haipo, yaani usiku nianze kusumbua mtoto wangu kwa sababu ya wivu tu?

Hapanaaa
 
Baada ya kuona sijamfuata wala sijatetereka anakuja kihivi...nataka kumwambia ili nimpokee aje na huyo alikwenda kuishi kwake siku zote hizi...

Sitaki ujinga kabisa, bronken instanbul...

 
"Hivi wanawske wengine mkoje"
Mkuu hii sentensi inabidi utuombe radhi, maana hata sisi wenye jinsia "ME" unetuweka kwenye jinsia "KE". Mimi sikubaliani nayo labda wenzangu., hapo kwenye " MKOJE" ungeweka "WAKOJE"

Ushauri, hiyo pisi yako kali piga chini, unasema amekaa kijijini muda mrefu so alikuwa anatafuta namna ya kuingia mjini tayari umeshamrahisia ndio maana anakwambie umtafute. Wajulishe wazazi wake kolichotokea then fuata yako.
 
Pole sana, mambo yake muachie mwenyewe, akimalizana nayo atarudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…