Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Huyu shemeji yako simuelewi kabisa, hali yangu kwa sasa sio nzuri, Keshokutwa tarehe 15 natakiwa nilipe School Fees za Watoto 1.5Mil, pia Mama Mgonjwa kijijini natakiwa nimtumie hela ya matibabu, haya yote anayajua, cha ajabu eti Jana karudi na simu mpya IPhone 6 kanunua 1mil, eti kaikuta rahisi akashindwa kujizuia na kuvumulia, nishauri nimfanyaje huyu mwanamke Ndugu yangu".
Hii ni whatsapp iliyoingia kutoka kwa rafiki yangu kipenzi mchana huu. Nimejaribu kujiuliza sipati majibu, msaada wenu please.
Hii ni whatsapp iliyoingia kutoka kwa rafiki yangu kipenzi mchana huu. Nimejaribu kujiuliza sipati majibu, msaada wenu please.