Chapa mwendo kaka,hawa watu hawana fadhira hata ufanye mema vipi siku moja atakuona ---- tu.Ila kwa issue yako mi nakushauri achana naye hasara roho pesa makaratasi,unaweza lazimisha then baadaye uje kujuta.Wanawake wengi utapata shemeji mwingine tu.
Ila wanawake jamii ya hawa huwa wanatumiwa kama mpira wa kiume.,ila siku atakuja arudi utamsikia samahan,pumbafu.