Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,913
- 100,116
Yaani anasema huwa hali maharage ila anakunywa mchuzi wake?Na wewe unamuamini mkuu?
Habarini?
Nina mpenzi wangu tumekua pamoja tangu 2008 tukiwa ndio tumeanza barehe
hadi hii Leo tumekua wakubwa kiasi tunawazia maisha..
Juzi kati amepata bwana mwingine kiukweli ili niuma sana na Kibaya zaidi
napomuuliza anasema ananipenda mie ila yule yupo nae ili kuniumiza roho
kwakuwa nilishawahi kumtendea hivi hapo nyuma... sasa jama mapenzi
yanakulipiziana visasi kweli? ananihakikishia hatoshiriki kufanyanae
mapenzi sasa nitaaminije? ushauri turn kipi nifanye...