Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,142
- 27,105
Aliwahi nikubalia na tukaachaana miezi michache baadaye(2008), nilimpotezea japo japo alikuwa akirudi kwa kuvizia(mawasil iaono ya nadra), niliamua kusonga mbele kwan hakuonesha kunihitaji kwa namna yeyote. Mwaka jana mwishon nilimtafuta kwa lengo la kumjulia hali, tuliendelea kuchatt huku akiuliza ikiwa nimepata kazi..nilimkubalia japo sikuwa na kazi yoyote...hapo ndipo alipoanza kuniganda,,sms na beeping zikawa hazikauki na akaanza kunielezea shida zake ikiwemo pesa. Majuzi kwa makusudi nilimgusia kuhusu msimamo wake ktk mapenzi{kuolewa }, chaajabu alitoa kauli za kukatisha tamaa kana kwamba hajui nini nahitaji toka kwake{cyo za kunikatisha tamaa maana nilishakata tamaa kitambo}, alikuwa akiongea hayo huku request yake ya pesa ikiwa pending....leo kanibip kamamara 3, nadhan anakumbushia pesa. Ninachojiuliza> nimpe pesa kama nani kwangu<siyo kukopa>, huu ujasiri anautoa wapi? Au bdo anaamin nampenda hvyo nitampa tu kama ilivyokuwa mwanzo? Sielewi na pengne sijielewi wakuu..