mkojo wa bhange
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 560
- 639
Huyo ni mkeo au mchepuko wako? umeoa kwa ndoa au ninkimada unaishi naye?VP unanishauri nitumie falsafa yako?ujue ss tunaishi ughaibuni na mwanamke huku haguswi ni kosa la jinai wanaume ndio huwa tunaachika anaanza mbele
hata kama ughaibuni kwani kumwacha huwezi? au ughaibuni hakuna talaka?.
haya basi umeshindwa kumwacha na yeye ana mchepuko wewe unasubiri nn kuanza kuvhepuka..au hakuna wanawake yipo mwenyewe tuu mkeo?
acha ujinga unaoekejea kuwa usrngerema maana utajaingixiwa dildo ubaki ukichekacheka na kuja kutuomba ushauri jf.
be a man enough for your woman...and above all be very bold.
kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
