Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nilipie na mimi mahabuba
 
WAJINGA NDIO WALIWAO MKUU

AFU WAZEE WALISEMA

Mwanamke kama hakusikii na sikio la juu BASI jitahidi sana akusikie kwa kutumia sikio la chini
 
Samahani wote ambao mmechanganywa na mada. Mimi ni mwanaume, anayeniletea udwanzi ni mwanamke. Kichwa cha habari kinasomeka MWANAUME, ni makosa ya uandishi tu
 
Duh siku hizi wanawake mnatulipia kodi wanaume aisee jamaa ana bahati au anavokulomba anatia kinyeo kidole dah jamaa mganga wake fundi sio mbaya kumlipia bwana wako kodi dada yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…