kokunestory
Member
- Apr 11, 2013
- 86
- 11
habarini wana jamvini, ni ivi una kua ktk relation na mwanaume na ktk kipindi chote cha relation mnakuwa ni watu wa kugombana saana , una amua kuachana naye na ktk kipindi icho cha kuwa mbali ana kuwa mtu wa kusumbua sana hadi kero anakuwa anataka kurudiana, baada ya mda una gundua jamaa kachumbia tayari na anataka kuelekea kwenye ndoa, so unaamua kumsahau kabisa but jamaa anaendelea kusumbua saana ana dai hawezi kuishi bila yeye inafikia kipindi jamaa anaomba hata urafiki tu kwa yule dada wa mwanzo., je ni kweli jamaa anatafuta urafiki au kuna cha ziada na kweli kuna mapenzi hapo au ndio wasanii wetu wa bongoooo