Nimfanyaje huyu baba?


Yawezekana lakin
 

Sasa unataka niandike nini humu? Kwamba ulibakwa na baba yako ama?? Kama ni kweli au siyo kweli nimekuita uchangie mbona marnda yakuwasha weye?!
 
Yawezekana lakin

my dear if you like the dude just "reward" him out of your own volition. Lakini asikudanganye kuwa amekupenda sana just because he's been after you for 4 months. Ukiwa na uelewa huu itakuwia rahisi kutokuumizwa. Ni kama *** friend tu mnakula bata maisha yanaendelea.
 

Nimekuelewa mkuu
 

Njia rahisi ya kumuonyesha kuwa hampendi ni kutopokea hisani anazo kufanyia. Kwa mwanaume mwenye akili, huo ni ujumbe tosha. Lakini kama unapokea chochote hata kama hukuomba basi unampa matumaini. Ana mke na watoto kwako anataka sex tu - hilo lipo wazi. Sasa amua kusuka au kunyoa maana wengine hela zetu haziendi bure bure.
 
Ananijali sana

subiri sasa aje akuombe tunda halfu umnyime wakati ameshajitoa kwako, tena mtu mwenyewe wa nchi jirani! Tutakusahau humu jamvini umukagame mamangu, kama humtaki na humpendi kaa nae mbali acha kupokea huduma zake kwa usalama wako
 
subiri sasa aje akuombe tunda halfu umnyime wakati ameshajitoa kwako, tena mtu mwenyewe wa nchi jirani! Tutakusahau humu jamvini umukagame mamangu, kama humtaki na humpendi kaa nae mbali acha kupokea huduma zake kwa usalama wako

Dah ndiyo hicho nawaza umu mie Mungu anisaidie lhaaa
 
Inawezekana ananipenda cz ni tofauti na wanaume wengne haiwezkan mtu miez zaidi ya 4 unaangaikia kitu na hakuna dalili za kukipt then he dont gv up ywezkn kuna upnd pia

Wewe bhana acha ubishi! Mtu ana mke wake huko unasema anakupenda?
Fikiri mara 2 we mdada! Anatafuta pa kukojolea wakati mkewe akiwa mbali!
 
kama anakupa vitu usithubutu kukataa si unajua kutoa ni moyo? hahahaaaaa ila wew usithubutu kutoa vyako utaliwa ubaki unajutia
 
Hivi papuchi huwa zina nini?
Kwanini kidume kikishakula tena mara moja kinakimbia mazima wakati kimehudumia kama mara 20 hivi?

Kwanini?

nilimuuliza hili swali rafiki yangu ni play sana akanijibu yeye anapenda kuonja kila ladha awe mweupe mweusi muda mwengine namcheka anakuja na mademu ambap hawaeleweki ila yeye hajali sijui kwa nini
 
Leo Ngoja nisichangie maana nipo volatile na mtoa mada
 
Inawezekana ananipenda cz ni tofauti na wanaume wengne haiwezkan mtu miez zaidi ya 4 unaangaikia kitu na hakuna dalili za kukipt then he dont gv up ywezkn kuna upnd pia

Ana mke yet unasema anakupenda😕..mpe papuchi uone
 
Inawezekana ananipenda cz ni tofauti na wanaume wengne haiwezkan mtu miez zaidi ya 4 unaangaikia kitu na hakuna dalili za kukipt then he dont gv up ywezkn kuna upnd pia

Kwisha habari yako.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…