Nimezoea sana kudate na wazungu!

Nimezoea sana kudate na wazungu!

Ingawa mimi nmetoka bongo sitaman kudate wa bongo maana wana maushamba sana na tena sio warembo kama wazungu wananiboa sana.wana show mbovu sana.

Naona unawala hadi wazungu wa kichaga sio...
 
Kila ale kilicho kitamu kwake, nimefundishwa na mwl wa kijerumanj tena alikuwa mdogo tu kibinti, lakini mshipa haukushtuka tena alikuwa anavaa vipesi vifupi lakini ukutani na mzigua amevaa ukaona michirizi ya chupi Network inasoma 5G
 
Back
Top Bottom