Mkuu uliinunua hii gari?Badala ya Spare Tyre kwenye hii gari nimekuta wameniwekea Portable Air Pump kwa ajili ya kujazia tyres upepo ukipungua na Tyre repair Kit ili kukusogeza unapoweza pata huduma ya msingi.👍
Hii imekaa poa.Badala ya Spare Tyre kwenye hii gari nimekuta wameniwekea Portable Air Pump kwa ajili ya kujazia tyres upepo ukipungua na Tyre repair Kit ili kukusogeza unapoweza pata huduma ya msingi.👍
Ya kiboya Sana.Hii ndio ile gari imekaa kama mbwa anajinyoosha mgongo😅View attachment 2077255
Honda Cross Road
Sijawahi kuielewa hio gari maisha😅Ya kiboya Sana.
yes unaweza kuchomeka kwenye Cigar Lighter piaHii imekaa poa.
Hiyo pump ni 12V?
Kaka, Gharama za hii gari hadi kufika + Ushuru wa Bandari na vyoote hadi kuichukua na kuingia nayo Road imegharimu Tshs 10.6M hii imetegemea na gharama niliyonunulia.Baba tupe ABC za hii gari maana hata mimi naielewaga sana nikiiona road ila sijajua kama inamirikika kirahis au?
yes ndio ninayotumia kwa sasa,Mkuu uliinunua hii gari?
Mkuu hiyo unayozungumzia ni Jaguar... ha ha haHii ndio ile gari imekaa kama mbwa anajinyoosha mgongo😅View attachment 2077255
Honda Cross Road
Wacha maneno wwMkuu hiyo unayozungumzia ni Jaguar... ha ha ha
Mkuu mm Nina Honda CR-V Kama inawezekana tuanzishe fan page insta na group letu wasap kwa ajili road trips na convoyMkuu hiyo unayozungumzia ni Jaguar... ha ha ha
Wengine wananunua vanguard, then unanunua mlango wa nyuma wa RAV 4 miss TZ unaupachika na spare tyre lake.Sijawahi mkuu.
Do you know kuna watu wameacha kununua hiyo gari kwa sababu haina spare tyre?
Kaka, Gharama za hii gari hadi kufika + Ushuru wa Bandari na vyoote hadi kuichukua na kuingia nayo Road imegharimu Tshs 10.6M hii imetegemea na gharama niliyonunulia.
1.) Hii Gari ina matoleo mawili 2Wheels na 4Wheels drive
2.) Ukubwa wa Engine za gari hizi kuna CC 1799 na CC1990
3.) Ni 7 Seater ikiwa ni SUV Medium sized kwa matumizi ya familia.
Mkuu hii gari ulichukua kampuni gani?Kaka, Gharama za hii gari hadi kufika + Ushuru wa Bandari na vyoote hadi kuichukua na kuingia nayo Road imegharimu Tshs 10.6M hii imetegemea na gharama niliyonunulia.
1.) Hii Gari ina matoleo mawili 2Wheels na 4Wheels drive
2.) Ukubwa wa Engine za gari hizi kuna CC 1799 na CC1990
3.) Ni 7 Seater ikiwa ni SUV Medium sized kwa matumizi ya familia.
unakariri maisha, kishumundu Siyo kwamba ni porini, Ni km 3 au 5 tu kutoka Moshi town. Umaarufu wake ni kutokana na ushamba mwingi enzi hizo wakija moshi mjini.Ni rahisi kuitengeneza sababu katika hiyo miji ni rahisi kupata professional people walioko kwenye gereji za Hali ya juu japo itakutoka hela but matengenezo yapo sasa wewe unakaa katavi ,mtwara ,kishumundu utajuta kama ugonjwa WA kisukari
Usichokijua Mtwara ni hapo tu, kisochopatikana leo mtwara, ukiagiza Dar kesho saa nane tayari kishakufika.Ni rahisi kuitengeneza sababu katika hiyo miji ni rahisi kupata professional people walioko kwenye gereji za Hali ya juu japo itakutoka hela but matengenezo yapo sasa wewe unakaa katavi ,mtwara ,kishumundu utajuta kama ugonjwa WA kisukari
Kwa nini mkuuNunua kama unaishi mikoa hii
Mwanza
Dar
Arusha
Moro
Tofauti na hapo litakuwa zigo la kwako pamoja na familia Tu
Wivu tuu 🤣🤣Hii ndio ile gari imekaa kama mbwa anajinyoosha mgongo😅View attachment 2077255
Honda Cross Road
We nenda kamshabikie bibi tozo ulipwe buku 7 yako LummbWivu tuu 🤣🤣