ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Kwa mpango huu tunategemea mvua kweli!
Sasa mama mdogo huyo si kama mwanaoKumbe nilikuambia iwe siri halafu unakuja kunianika hapa ? Huna adabu na wala usithubutu kunifuata tena nitakata hicho kibamia chako!
Kwamba romance za kutosha?Ila hayo unayosema yanaweza kuwa ya kweli ndugu coz hata mimi ni tunapendana sana kimapenzi na mpwa wangu. Ila sijawahi kumpa penzi langu kwa sababu namheshimu sana dada yangu na Ukoo wangu pia!. Ila romance tuliishafanya vya kutosha ………!
Sana tu ndugu ila huwa najishitukia sana!Kwamba alishazichezea chuchu SAA sits zako?
Hata kama mama mdogo anamatatizo sasa ukiangalia hapa kuna tofauti gani baina ya hawa wote wawili? hakuna excuse wote wakosa na still baada ya kujua ni kosa ukawacha ndio wanazidi kujilaanisha yani mwenyezi mungu ana zidi kuwatoa Aibu,mungu atunusuru na ushetani huu..Mimi nadhani huyo mamake mdogo ndio mwenye matatizo. Na siku hizi wanawake wengi ni kama huyo mamdogo wake.