Nimezama kwenye penzi la beki tatu.(update)

Nimezama kwenye penzi la beki tatu.(update)

Muache mkeo..mtafute beki 3 oa..simple tu..muache mama wa watu aende zake
 
Nenda kijijini kwao..mtafute oa..muache mkeo awe huru usijempa jakaa la moyo bure
 
Hapa ndio nikifikilia wadada wa kazi nguvu zinaniisha aisee nyie mwanaume nyie mna nini lakini
Cha muhimu zidisha tu maufundi mkuu......au alternative tafuta beki 3 mwenye sura ya baba yake otherwise utaumizwa tu
 
Sihitaji house gal mkuu najua kupangilia kila kitu changu
Umeshakua na mtoto? na ukawa busy sana na mishe zako or kazi in a way ambayo unashindwa ku manage issues zote at the same time?
 
Hivi kuna mtu amewahi kukaa nyumbani kwa wazazi/ walezi kuna beki tatu hajagonga??
Duuuuu aisee mmeamua kunifanyia hivi ? Hiv na mm nikaja kuweka uzi wa kugegeda mke wa mtu na ana sifa ka za wife wako ,na kumsifia utajisikaje?
 
Inasikitisha kuona mwanaume mwenzangu alieoa anasifia beki 3, inasikitisha kuona pipo zinaoa oa tu just bcoz kuna kuoa, anyway inasikitisha tu.
 
Atakuwa kakuwekea limbwata si bure...jaribu kupeleleza kwao kama kuna hizo teknolojia uanze kufunga mitambo ya kujihami!!
 
Back
Top Bottom