Nimezaa nje ya ndoa nifanyeje nimweleze wife?

Nimezaa nje ya ndoa nifanyeje nimweleze wife?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,395
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife,tumetoka naye mbali sana ananipenda na ananijali sana na ni mama bora kwa watoto wangu sio hivyo tu ananiamini sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
 
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife, maana nampenda sana na tumetoka mbali sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
Mkuu kinachokuuma ni kuchepuka au kuzaa mtoto?

Na mtoto ni wako, kwahiyo endelea kumtunza na kumtembelea mara kwa mara. Kuhusu kumwambia mke wako unaweza kupoteza kila kitu, ingawa yeye akizaa na mchepuko atatunza siri mpaka kaburini
 
Kula ganzi tu utaishia kuharibu ndoa yako...

Sana sana wewe endelea kutunza hiyo damu maana ni mwanao...

Wanawake wengi kwenye ndoa huwa wanabambikia wanaume watoto, na tunatunza tu...

Iweje wanaume ndio tuwataje watoto zetu walio kwa wamama wengine?
 
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife, maana nampenda sana na tumetoka mbali sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
Unajifanyanga mwamba na mikwala humu na ustaadhi sana kumbe kwa mkeo ni ulojo hadi unaomba jf Nikusaidie as if tulikusaidia kutia mimba

USSR
 
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife, maana nampenda sana na tumetoka mbali sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
Ayatollah kimsboy dini yako na dhehebu lako ya 'Shia' linaruhusu kuongeza Mke....ongeza tu
 
Hii mada sijui ndio imeandikwa na mke au mume, no wonder sikuhizi mnapeleka mpaka wake zenu kwenye marathon
downloadfile.jpg
 
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife,tumetoka naye mbali sana ananipenda na ananijali sana na ni mama bora kwa watoto wangu sio hivyo tu ananiamini sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
Acha usenge brother mimi mwenyewe nimezaa nje ya ndoa ila mke wangu atajua tukisha zeeka sasa hvi akijua utaharibu kila kitu
 
Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.

Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)

Basi nikaja kumuoa huyu rafiki yangu huyu dada tulijuana nae tokea chuo yaani alikua ni zaidi ya rafiki kwangu akinisapoti nami nikawa namsapoti hadi home walikua wanajua tulivyokua tumeshibana nae in fact alikua kama ndugu yangu kabisa kwa jinsi tulivyoelewana.

Baada ya kuachana na mke wangu wa kwanza nikaamua kumuoa huyu rafiki yangu sasa. Namshukuru Mungu katika huyu mwanamke ni maisha yangu kabisa, yaani huyu ni wife material kabisa kwangu mimi na toka niwe naye tumepiga hatua kubwa kiuchumi yaani tumefanya mambo mengi sana.

Sasa kinachoniuma aisee nilijikuta nimetembea na dada mmoja ambaye alikua nilikua napenda sana kununua vitu dukani kwake tukazoeana nikajikuta nimemtongoza nikalala nae na tangia hiyo siku nikawa na uhusiano naye!!

Picha limeanza huyu mchepuko alibeba ujauzito wangu na akajifungua mtoto wa kike sasahivi mtoto ana mwaka na miezi miwili, mtoto kafanana na mimi balaa.

Wife hajagundua chochote kile ila roho inaniuma sana, nafsi inanisuta natamani nimweleze mke wangu ukweli sijui nitaanza vipi kumweleza.

Nawaza nimwelezeje wife,tumetoka naye mbali sana ananipenda na ananijali sana na ni mama bora kwa watoto wangu sio hivyo tu ananiamini sana.Kingine huyo mtoto nawaza nitaendelea kumficha hadi lini.

Naombeni ushauri wakuu kiukweli sijui nianzie wapi
Sasa umwambie wife ili iweje...atakuja kujua siku ya mazishi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom