NANGI NYANDA
Member
- Jan 15, 2015
- 39
- 6
Kaka na dada zangu hapa Jamii forums
Naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye uhusiano dada mmoja kwa takribani miaka miwili, sasa na tumezaa mtoto mmoja mwenye miezi tisa sasa.
Kumetokea mizozo na migogoro kwenye uhusiano wetu na kiasi kwamba natamani tuachane. Najaribu kujishusha sana ili tuweze kulea mtoto wetu lakini hadi nimechoka.
Ninachoambulia ni dharau na kejeri tu kila siku yani hata hata kufanya mapenzi ni hadi atake yeye! Nilipanga kumtolea mahar tarehe 28 mwezi huu lakini kwa tabia yake nahc hakuna ndoa yenye amani kati yetu!
Kinachonitesa ni mwanangu ambaye ni mdogo nahisi atateseka sana. Lakini tabu ninazokabiliana nazo ni nyingi kiasi cha kuutesa moyo wangu.
Nipo njia panda wakuu nifanyaje
Naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye uhusiano dada mmoja kwa takribani miaka miwili, sasa na tumezaa mtoto mmoja mwenye miezi tisa sasa.
Kumetokea mizozo na migogoro kwenye uhusiano wetu na kiasi kwamba natamani tuachane. Najaribu kujishusha sana ili tuweze kulea mtoto wetu lakini hadi nimechoka.
Ninachoambulia ni dharau na kejeri tu kila siku yani hata hata kufanya mapenzi ni hadi atake yeye! Nilipanga kumtolea mahar tarehe 28 mwezi huu lakini kwa tabia yake nahc hakuna ndoa yenye amani kati yetu!
Kinachonitesa ni mwanangu ambaye ni mdogo nahisi atateseka sana. Lakini tabu ninazokabiliana nazo ni nyingi kiasi cha kuutesa moyo wangu.
Nipo njia panda wakuu nifanyaje