Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,283
Safi sana kama ni kwelihata mimi pia sipo.
Safi sana kama ni kwelihata mimi pia sipo.
Unatumaini Baharia Hayupo ChamaniKwakweli.
Hiko chama chao me hakijanibarikinimejikuta siko interested na watu wanaojiita mabaharia.
Rafiki natumaini we haupo chamani
Mambo yao tuwaachie wenyewe.Pole mkuu kumbe na wewe linaku bore!
Hilo chama lao linatrend kwa kadi sana sijui nani kalianzisha halafu halina mbele wala nyuma mkuu
Atakuwa amelianzisha yule mzee wanamuita Lemubebez maana ndiye anajiita baharia mkongwe tehe..!
NdioUnatumaini Baharia Hayupo ChamaniView attachment 1202580
Mkuu ulifanyaje fanyaje?Ilikuwa ngumu sana kutoka kwenye chama pendwa chaputa nilijarib mara nying sana ila niliishia kurudi chamani sasa yapasa miez 7 sasa nimetoka chamani nipo huru sasa
Watu wanaaminishana kuwa kuacha ni ngumu ila nimeona kikubwa ni nia ya dhati mm nilijiwekea kutoka moyoni kuichukia nyeto kama ninavyo uchukia ushoga
Mwanzon kabisa nilitumia mbinu nyingi sana mpaka niliamuwa kuuza simu ila wap ila kwa sasa nimeweza namshukuru Mungu
Kama unataka kuacha weka nia ya dhat kabisa kuwa sitafanya hata iweje
mkuu samahani. una umri gani kwa sasa? na chaputa ulikuwa miaka mingapi huko




Aisee30s na nimetumikia chama kwa miaka 12 nilikuwa addicted kabisa ila any addiction huondoka kama ukiwa na nia ya dhati
Ilifika kipindi nikiona mafuta geto napata mzuka aseeh its dangerous hii kitu
Mkuu simu ni hatari sanaKwa hiyo simu ina uhusiano gani na nyeto?
Hahahaha huyu jamaa yupo halftime tuu sema hajajuaMiezi saba tu kwa nyeto bado sana kitu pekee kinachoweza kukutenganisha wewe na nyeto ni Kifo otherwise uko likizo tu.
Hapa umenivunja mbavu...CHAPUTA Yasikitika Kupoteza Member Mmoja Chamani.
Hongera saaaaana bingwa huo ndio ushindi wa mwenyewe pigana kiume. Baharia ume win Big upIlikuwa ngumu sana kutoka kwenye chama pendwa chaputa nilijarib mara nying sana ila niliishia kurudi chamani sasa yapasa miez 7 sasa nimetoka chamani nipo huru sasa
Watu wanaaminishana kuwa kuacha ni ngumu ila nimeona kikubwa ni nia ya dhati mm nilijiwekea kutoka moyoni kuichukia nyeto kama ninavyo uchukia ushoga
Mwanzon kabisa nilitumia mbinu nyingi sana mpaka niliamuwa kuuza simu ila wap ila kwa sasa nimeweza namshukuru Mungu
Kama unataka kuacha weka nia ya dhat kabisa kuwa sitafanya hata iweje
Yaaap nimepata mchumba nipo nae mwez wa 4 bado namchunguza ila pia huduma napata sio mbayaUnatakiwa uoe,na umpate mtu atakayekuwa anakupatia huduma pale unapohitaji;tofauti na hivyo utakuwa unautesa moyo wako tu hasa pale utakapotamani na huna uhakika wa kupata.
Soma mara ya pili naona umeandika kitto sana ila oky nimekuelewa endelea na nyetoMadhara ya punyeto yanayonadiwa kila kona ni. Kupunguza nguvu za kiume. Uume kulegea.
Sasa pima katika hayo madhara mhusika yanamdhuru vipi wakati wanaodhulika nayo ni wanawake! Hivi nguvu zako za kiume zikipungua anayeumia ni wewe ama mkeo? Uume wako ukiwa legelege anayeumia ni wewe ama mkeo? Kutokuwa na hamu ya tendo we inakudhuru nini? Mi nasubiri kama madhara yatakuwa yamesimama upande wa uchumi na uboreshaji ea teknolojia hapo ndipo nitaanza kampeni za kukipinga chama pia nitajiondoa katika chama. Ama madhara yake yakiwa ni kudidimiza nguvu za kikazi yaani kulegea kwa mikono si kulegea kwa dushe
ha ha ha kuacha kitu kunatakiwa kuwepo na mbadalausimpe ushauri wa kijinga, kuoa bila malengo ni kujiongezea stress, mwanamke ni mtu tofauti sanaa ktk jamii si kitu cha kuamua leo na kesho kuoa. kuna watu wameoa na chaputa ni makatibu taifa. kikubwa ni kuacha yeye kama yeye chaputa
aiseee kuoa si mbadala wa tatizo maana kuoa ni tatizo lingine huwezi kutatua tatizo kwa tatizo. kuoa ni jambo gumu sana lisifanywe kwa sababu ya kukimbia tatizo fulani hope u get ma pointha ha ha kuacha kitu kunatakiwa kuwepo na mbadala