kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,035
- 2,211
Ilikuwa ngumu sana kutoka kwenye chama pendwa chaputa nilijarib mara nying sana ila niliishia kurudi chamani sasa yapasa miez 7 sasa nimetoka chamani nipo huru sasa
Watu wanaaminishana kuwa kuacha ni ngumu ila nimeona kikubwa ni nia ya dhati mm nilijiwekea kutoka moyoni kuichukia nyeto kama ninavyo uchukia ushoga
Mwanzon kabisa nilitumia mbinu nyingi sana mpaka niliamuwa kuuza simu ila wap ila kwa sasa nimeweza namshukuru Mungu
Kama unataka kuacha weka nia ya dhat kabisa kuwa sitafanya hata iweje
Watu wanaaminishana kuwa kuacha ni ngumu ila nimeona kikubwa ni nia ya dhati mm nilijiwekea kutoka moyoni kuichukia nyeto kama ninavyo uchukia ushoga
Mwanzon kabisa nilitumia mbinu nyingi sana mpaka niliamuwa kuuza simu ila wap ila kwa sasa nimeweza namshukuru Mungu
Kama unataka kuacha weka nia ya dhat kabisa kuwa sitafanya hata iweje
nimejikuta siko interested na watu wanaojiita mabaharia.