Nimewavulia kofia 'HALOTEL'

Nimewavulia kofia 'HALOTEL'

Unaongea na demu dakika miatano? Daaah! Mimi tangia huu mwaka uanze sijatumia dakika40kwa mademu wote niliowasiliananao
Wapi nimesema nimeongea dakika miatano? "..nikacheki mda nilioongea na mpenzi wangu hata jumla dakika miatano kwa wiki nzima hazijafika.." ina maana ukiandika x<3 ni sawa na kusema x=3 ? Usiwe na papara ya kujibu kitu bila kusoma kwani umeambiwa thread huwa inajaa kuchangia?
 
Wapi nimesema nimeongea dakika miatano? "..nikacheki mda nilioongea na mpenzi wangu hata jumla dakika miatano kwa wiki nzima hazijafika.." ina maana ukiandika x<3 ni sawa na kusema x=3 ?
😀 😀 😀 😀 😀 ,kweli wewe unaitwa Naantombe
 
Ushauri wa bure ukitaka kutumia muda wa maongezi kwa raha kabisa bila wizi tumia TTCL kifurushi cha mwezi 4500 muda wa maongezi tu mitandao yote,
Japo unapewa na mb 500 lakini zingatia muda wa maongezi

Kuhusu bando la internet ukitaka kutumia Internet kwa raha zako na furaha zako youtube, fb , whatsapp na istragram
Tumia mtandao wa voda bando la wiki sh 10, 000 GB 12
Starehe Gharama.
 
Back
Top Bottom