Kila goti litapigwa.uki jua ya mwenzako ujue ya kwako yatajulikana tu.mimi nadhani ndugu zangu wa JF tungekuwa tunavumiliana kwa hoja zinazotolewa humu,mi naiman kama JF ikitumika vizuri itakuwa sehemu nzuri ya kujenga bongo zetu kwa kupata habari zenye mchujo wa hali ya juu,lakini pia kujua mambo mengi ya nchi yetu na dunia nzima,maneno ya kuudhi,kukashifu,kudharau hoja ya mwenzako isifikiriwe kuwa ni njia nzuri ya kutetea kile unachokiamini inawezekana kabisa ukawa ni mmoja kati ya watu wanaharibu mtazamo wa chama chako,itikadi yako,dini yako nk,nakusikia mtu anasema hawa watu wanatoa kauli hizi mbaya ni wapenzi wa chama a nk.tuvumiliane jaman JF si mahala pa kujifunzia hoja za kuudhi,Na ukweli kama ingekuwa lazima kuandika jina lako ni lazima haya yote tunayo yashuhudia humu yasinge tokea.watu wengi wa muhimu wamejitoa ktk JF kwa kuepuka matusi na maneno ya kudhi.iko siku utapatikana mtandao wa waastarabu hamtapa nafasi ya kutoa maneno ya aina yenu hii WHY THINKER's muwe hivyo tubadili kwanza sisi watanzania ndiyo kila kitu kitabadilika taifa la aina ya watu waina hii halitashinda hata kwa vita ya mbu.tubadilike.ahsante.nadhan mmenielewa